Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

A6-A

Chati: Manabii na Wafalme wa Yuda na Israeli (Sehemu ya 1)

Wafalme wa Ufalme wa Kusini wa Yuda Uliokuwa na Makabila Mawili

997 K.W.K.

Rehoboamu: Miaka 17

980

Abiya (Abiyamu): Miaka 3

978

Asa: Miaka 41

937

Yehoshafati: Miaka 25

913

Yehoramu: Miaka 8

Karibu 906

Ahazia: Mwaka 1

Karibu 905

Malkia Athalia: Miaka 6

898

Yehoashi: Miaka 40

858

Amazia: Miaka 29

829

Uzia (Azaria): Miaka 52

Wafalme wa Ufalme wa Kaskazini wa Israeli Uliokuwa na Makabila Kumi

997 KW.K.

Yeroboamu: Miaka 22

Karibu 976

Nadabu: Miaka 2

Karibu 975

Baasha: Miaka 24

Karibu 952

Ela: Miaka 2

Zimri: Siku 7 (Karibu 951)

Omri na Tibni: Miaka 4

Karibu 947

Omri (peke yake): Miaka 8

Karibu 940

Ahabu: Miaka 22

Karibu 920

Ahazia: Miaka 2

Karibu 917

Yehoramu: Miaka 12

Karibu 905

Yehu: Miaka 28

876

Yehoahazi: Miaka 14

Karibu 862

Yehoahazi na Yehoashi: Miaka 3

Karibu 859

Yehoashi (peke yake): Miaka 16

Karibu 844

Yeroboamu wa Pili: Miaka 41

  • Orodha ya Manabii

  • Yoeli

  • Eliya

  • Elisha

  • Yona

  • Amosi