A6-B
Muchoro: Manabii na Wafalme wa Yuda na wa Israeli (Sehemu ya 2)
Wafalme wa Ufalme wa Kusini (Inaendelea)
777
Yotamu: miaka 16
762
Ahazi: miaka 16
746
Hezekia: miaka 29
716
Manase: miaka 55
661
Amoni: miaka 2
659
Yosia: miaka 31
628
Yehoahazi: miezi 3
Yehoyakimu: miaka 11
618
Yehoyakini: miezi 3 na siku 10
617
Sedekia: miaka 11
607
Yerusalemu na hekalu lake vinaharibiwa na Wababiloni wenye kushambulia, wenye kuongozwa na Nebukadneza. Sedekia, mufalme wa mwisho wa kidunia katika ukoo wa Daudi, anaondolewa kwenye kiti cha ufalme
Wafalme wa Ufalme wa Kaskazini (Inaendelea)
803 hivi
Zekaria: utawala wa miezi 6 tu ndio umehakikishwa
Zekaria alianza kutawala kwa njia fulani, lakini inaonekana kwamba ufalme wake ulikuwa haujahakikishwa kabisa kuwa wake mupaka mwaka wa 792 hiv
791 hivi
Shalumu: mwezi 1
Menahemu: miaka 10
780 hivi
Pekahia: miaka 2
778 hivi
Peka: miaka 20
758 hivi
Hoshea: miaka 9 kuanzia 748 hivi
748 hivi
Inaonekana kwamba utawala wa Hoshea uliwekwa imara kabisa ao pengine ulisaidiwa na mufalme wa Ashuru Tiglat-pileseri wa Tatu mwaka wa 748 hivi
740
Ashuru inashinda Samaria, inatiisha Israeli; ufalme wa kaskazini wa makabila kumi unafikia mwisho
-
Oroza ya Manabii
-
Isaya
-
Mika
-
Sefania
-
Yeremia
-
Nahumu
-
Habakuki
-
Danieli
-
Ezekieli
-
Obadia
-
Hosea