Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Utangulizi wa Neno la Mungu

JINSI YA KUPATA MISTARI YA BIBLIA

Biblia ina vitabu vidogo 66. Imegawanywa katika sehemu mbili: Maandiko ya Kiebrania na Kiaramu (“Agano la Kale”) na Maandiko ya Kigiriki (“Agano Jipya”). Kila kitabu cha Biblia kimegawanywa kwa sura na mistari. Maandiko yanapotajwa, nambari ya kwanza baada ya jina la kitabu inaonyesha sura, na nambari inayofuata au zinazofuata ni mstari au mistari. Kwa mfano, Mwanzo 1:1 inamaanisha Mwanzo sura ya 1, mstari wa 1.