Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 9

Kwa Nini Wanadamu Huteseka?

“Sikuzote si wenye mbio wanaoshinda mbio, wala wenye nguvu hawashindi vita, wala wenye hekima hawapati chakula sikuzote, wala werevu hawawi na utajiri sikuzote, wala wenye ujuzi hawafanikiwi sikuzote, kwa sababu wakati na matukio yasiyotarajiwa huwapata wote.”

Mhubiri 9:​11

“Kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi, basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi​​—⁠.”

Waroma 5:​12

“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alifunuliwa, ili avunje kazi za Ibilisi.”

1 Yohana 3:8

“Ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.”

1 Yohana 5:​19