ULIZO LA 15
Unaweza Kufanya Nini Ili Upate Furaha?
“Ni muzuri zaidi kula mboga za majani mahali kwenye kuko upendo kuliko kula ngombe-dume mwenye kunenepa mahali kwenye kuko chuki.”
“Mimi, Yehova, niko Mungu wako, Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida, Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.”
“Wenye furaha ni wale wenye wanatambua uhitaji wao wa kiroho, kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wao.”
“Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”
“Kama vile munataka watu wawatendee ninyi, muwatendee kwa njia ileile.”
“Wenye furaha ni wale wenye wanasikia neno la Mungu na kulishika!”
“Wakati mutu iko na vitu vingi, uzima wake hautokane na vitu vyenye iko navyo.”
“Basi, kama tuko na chakula na nguo, tutatosheka na vitu hivyo.”
“Kuko furaha zaidi katika kutoa kuliko katika kupokea.”