Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 20

Unawezaje Kunufaika Zaidi Unaposoma Biblia?

UNAPOSOMA BIBLIA YAKO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

Jambo hili linanifundisha nini kumhusu Yehova Mungu?

Sehemu hii ya Maandiko inahusianaje na ujumbe wa Biblia?

Ninawezaje kutumia habari hii maishani mwangu?

Ninawezaje kutumia maandiko haya kuwasaidia wengine?

“Neno lako ni taa ya mguu wangu, na nuru ya njia yangu.”

Zaburi 119:105