Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Mwanzo

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Uumbaji wa mbingu na dunia (1, 2)

    • Siku sita za kuitayarisha dunia (3-31)

      • Siku ya 1: nuru; mchana na usiku (3-5)

      • Siku ya 2: anga (6-8)

      • Siku ya 3: nchi kavu na mimea (9-13)

      • Siku ya 4: mianga ya mbinguni (14-19)

      • Siku ya 5: samaki na ndege (20-23)

      • Siku ya 6: wanyama wa nchi kavu na wanadamu (24-31)

  • 2

    • Mungu apumzika siku ya saba (1-3)

    • Yehova Mungu, Muumbaji wa mbingu na dunia (4)

    • Mwanamume na mwanamke katika bustani ya Edeni (5-25)

      • Mtu aumbwa kutokana na mavumbi (7)

      • Mti uliokatazwa wa ujuzi (15-17)

      • Kuumbwa kwa mwanamke (18-25)

  • 3

    • Mwanzo wa dhambi ya wanadamu (1-13)

      • Uwongo wa kwanza (4, 5)

    • Yehova awahukumu waasi (14-24)

      • Uzao wa mwanamke watabiriwa (15)

      • Kufukuzwa Edeni (23, 24)

  • 4

    • Kaini na Abeli (1-16)

    • Wazao wa Kaini (17-24)

    • Sethi na Enoshi mwanawe (25, 26)

  • 5

    • Kuanzia Adamu mpaka Noa (1-32)

      • Adamu azaa wana na mabinti (4)

      • Enoko alitembea na Mungu (21-24)

  • 6

    • Wana wa Mungu wajichukulia wake duniani (1-3)

    • Wanefili wazaliwa (4)

    • Uovu wa wanadamu wamhuzunisha Yehova (5-8)

    • Noa aagizwa ajenge safina (9-16)

    • Mungu atangaza kuja kwa Gharika (17-22)

  • 7

    • Kuingia ndani ya safina (1-10)

    • Gharika duniani kote (11-24)

  • 8

    • Maji ya Gharika yapungua (1-14)

      • Njiwa atumwa (8-12)

    • Kutoka ndani ya safina (15-19)

    • Ahadi ya Mungu kuhusu dunia (20-22)

  • 9

    • Maagizo kwa wanadamu wote (1-7)

      • Sheria kuhusu damu (4-6)

    • Agano la upinde (8-17)

    • Unabii mbalimbali kuhusu wazao wa Noa (18-29)

  • 10

    • Orodha ya mataifa (1-32)

      • Wazao wa Yafethi (2-5)

      • Wazao wa Hamu (6-20)

        • Nimrodi ampinga Yehova (8-12)

      • Wazao wa Shemu (21-31)

  • 11

    • Mnara wa Babeli (1-4)

    • Yehova avuruga lugha (5-9)

    • Kuanzia Shemu hadi Abramu (10-32)

      • Familia ya Tera (27)

      • Abramu ahama Uru (31)

  • 12

    • Abramu ahama Harani na kwenda Kanaani (1-9)

      • Ahadi ya Mungu kwa Abramu (7)

    • Abramu na Sarai katika nchi ya Misri (10-20)

  • 13

    • Abramu arudi Kanaani (1-4)

    • Abramu na Loti watengana (5-13)

    • Mungu arudia ahadi aliyompa Abramu (14-18)

  • 14

    • Abramu amwokoa Loti (1-16)

    • Melkizedeki ambariki Abramu (17-24)

  • 15

    • Agano kati ya Mungu na Abramu (1-21)

      • Miaka 400 ya mateso yatabiriwa (13)

      • Mungu arudia ahadi aliyompa Abramu (18-21)

  • 16

    • Hagari na Ishmaeli (1-16)

  • 17

    • Abrahamu atakuwa baba wa mataifa mengi (1-8)

      • Abramu apewa jina jipya, Abrahamu (5)

    • Agano la kutahiri (9-14)

    • Sarai apewa jina jipya, Sara (15-17)

    • Aahidiwa kumzaa mwana aitwaye Isaka (18-27)

  • 18

    • Malaika watatu wamtembelea Abrahamu (1-8)

    • Sara aahidiwa kuzaa mwana; Sara acheka (9-15)

    • Abrahamu amsihi Mungu asiangamize Sodoma (16-33)

  • 19

    • Loti atembelewa na malaika (1-11)

    • Loti na familia yake waagizwa waondoke (12-22)

    • Majiji ya Sodoma na Gomora yaharibiwa (23-29)

      • Mke wa Loti awa nguzo ya chumvi (26)

    • Loti na mabinti wake (30-38)

      • Mwanzo wa Wamoabu na Waamoni (37, 38)

  • 20

    • Sara aokolewa kutoka mikononi mwa Abimeleki (1-18)

  • 21

    • Isaka azaliwa (1-7)

    • Ishmaeli amdhihaki Isaka (8, 9)

    • Hagari na Ishmaeli wafukuzwa (10-21)

    • Agano kati ya Abrahamu na Abimeleki (22-34)

  • 22

    • Abrahamu aambiwa amtoe Isaka (1-19)

      • Uzao wa Abrahamu utaleta baraka (15-18)

    • Familia ya Rebeka (20-24)

  • 23

    • Kifo cha Sara na mahali alipozikwa (1-20)

  • 24

    • Isaka atafutiwa mke (1-58)

    • Rebeka aenda kukutana na Isaka (59-67)

  • 25

    • Abrahamu aoa tena (1-6)

    • Kifo cha Abrahamu (7-11)

    • Wana wa Ishmaeli (12-18)

    • Yakobo na Esau wazaliwa (19-26)

    • Esau auza haki yake ya mzaliwa wa kwanza (27-34)

  • 26

    • Isaka na Rebeka wakiwa Gerari (1-11)

      • Mungu amhakikishia Isaka kwamba atatimiza ahadi yake (3-5)

    • Wagombania visima (12-25)

    • Agano kati ya Isaka na Abimeleki (26-33)

    • Wake wawili Wahiti wa Esau (34, 35)

  • 27

    • Yakobo abarikiwa na Isaka (1-29)

    • Esau atafuta baraka lakini akosa kutubu (30-40)

    • Esau amchukia sana Yakobo (41-46)

  • 28

    • Isaka amtuma Yakobo Padan-aramu (1-9)

    • Ndoto ya Yakobo akiwa Betheli (10-22)

      • Mungu amhakikishia Yakobo kwamba atatimiza ahadi yake (13-15)

  • 29

    • Yakobo akutana na Raheli (1-14)

    • Yakobo ampenda Raheli (15-20)

    • Yakobo amwoa Lea na pia Raheli (21-29)

    • Wana wanne wa Yakobo waliozaliwa na Lea: Rubeni, Simeoni, Lawi, na Yuda (30-35)

  • 30

    • Bilha amzaa Dani na Naftali (1-8)

    • Zilpa amzaa Gadi na Asheri (9-13)

    • Lea amzaa Isakari na Zabuloni (14-21)

    • Raheli amzaa Yosefu (22-24)

    • Mifugo ya Yakobo yaongezeka (25-43)

  • 31

    • Yakobo aenda kwa siri Kanaani (1-18)

    • Labani amfikia Yakobo (19-35)

    • Agano kati ya Yakobo na Labani (36-55)

  • 32

    • Malaika wakutana na Yakobo (1, 2)

    • Yakobo ajitayarisha kukutana na Esau (3-23)

    • Yakobo apigana mweleka na malaika (24-32)

      • Yakobo apewa jina jipya, Israeli (28)

  • 33

    • Yakobo akutana na Esau (1-16)

    • Yakobo asafiri kwenda Shekemu (17-20)

  • 34

    • Dina abakwa (1-12)

    • Wana wa Yakobo watenda kwa udanganyifu (13-31)

  • 35

    • Yakobo aondoa miungu ya kigeni (1-4)

    • Yakobo arudi Betheli (5-15)

    • Benjamini azaliwa; Raheli afa (16-20)

    • Wana 12 wa Israeli (21-26)

    • Kifo cha Isaka (27-29)

  • 36

    • Wazao wa Esau (1-30)

    • Wafalme na mashehe wa Edomu (31-43)

  • 37

    • Ndoto za Yosefu (1-11)

    • Yosefu na ndugu zake wenye wivu (12-24)

    • Yosefu auzwa utumwani (25-36)

  • 38

    • Yuda na Tamari (1-30)

  • 39

    • Yosefu katika nyumba ya Potifa (1-6)

    • Yosefu ampinga mke wa Potifa aliyekuwa akimshawishi (7-20)

    • Yosefu akiwa gerezani (21-23)

  • 40

    • Yosefu aeleza maana ya ndoto za wafungwa wenzake (1-19)

      • ‘Ni kazi ya Mungu kueleza maana ya ndoto’ (8)

    • Karamu ya siku ya kuzaliwa kwa Farao (20-23)

  • 41

    • Yosefu aeleza maana ya ndoto za Farao (1-36)

    • Yosefu akwezwa na Farao (37-46a)

    • Yosefu awekwa kuwa msimamizi wa chakula (46b-57)

  • 42

    • Ndugu za Yosefu waenda Misri (1-4)

    • Yosefu akutana na ndugu zake na kuwajaribu (5-25)

    • Ndugu zake warudi nyumbani kwa Yakobo (26-38)

  • 43

    • Ndugu za Yosefu warudi Misri mara ya pili wakiwa na Benjamini (1-14)

    • Yosefu akutana tena na ndugu zake (15-23)

    • Yosefu ala na kunywa na ndugu zake (24-34)

  • 44

    • Kikombe cha fedha cha Yosefu chapatikana katika mfuko wa Benjamini (1-17)

    • Yuda asihi Benjamini aachiliwe (18-34)

  • 45

    • Yosefu ajitambulisha (1-15)

    • Ndugu za Yosefu warudi kumchukua Yakobo (16-28)

  • 46

    • Yakobo na familia yake wahamia Misri (1-7)

    • Majina ya waliohamia Misri (8-27)

    • Yosefu na Yakobo wakutana Gosheni (28-34)

  • 47

    • Yakobo akutana na Farao (1-12)

    • Usimamizi wenye hekima wa Yosefu (13-26)

    • Israeli aishi Gosheni (27-31)

  • 48

    • Yakobo awabariki wana wawili wa Yosefu (1-12)

    • Efraimu apata baraka kubwa zaidi (13-22)

  • 49

    • Unabii wa Yakobo alipokuwa akifa (1-28)

      • Shilo atatoka Yuda (10)

    • Maagizo ya kumzika Yakobo (29-32)

    • Kifo cha Yakobo (33)

  • 50

    • Yosefu amzika Yakobo Kanaani (1-14)

    • Yosefu awahakikishia ndugu zake kwamba amewasamehe (15-21)

    • Siku za mwisho za Yosefu na kifo chake (22-26)

      • Amri ya Yosefu kuhusu mifupa yake (25)