Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Kutoka

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Waisraeli waongezeka Misri (1-7)

    • Farao awakandamiza Waisraeli (8-14)

    • Wakunga waliomwogopa Mungu hawakuwaua watoto (15-22)

  • 2

    • Musa azaliwa (1-4)

    • Binti ya Farao amchukua Musa kuwa mwanawe (5-10)

    • Musa akimbilia Midiani na kumwoa Sipora (11-22)

    • Mungu asikia kilio cha uchungu cha Waisraeli (23-25)

  • 3

    • Musa na kichaka cha miiba kilichowaka moto (1-12)

    • Yehova aeleza maana ya jina Lake (13-15)

    • Yehova ampa Musa maagizo (16-22)

  • 4

    • Ishara tatu ambazo Musa angefanya (1-9)

    • Musa ahisi hastahili (10-17)

    • Musa arudi Misri (18-26)

    • Musa akutana tena na Haruni (27-31)

  • 5

    • Musa na Haruni wakiwa mbele ya Farao (1-5)

    • Ukandamizaji wazidi (6-18)

    • Waisraeli wamlaumu Musa na Haruni (19-23)

  • 6

    • Ahadi ya kuwekwa huru yarudiwa (1-13)

      • Jina Yehova halikujulikana kikamili (2, 3)

    • Ukoo wa Musa na Haruni (14-27)

    • Musa kufika tena mbele ya Farao (28-30)

  • 7

    • Yehova amwimarisha Musa (1-7)

    • Fimbo ya Haruni yawa nyoka mkubwa (8-13)

    • Pigo la 1: maji yageuzwa kuwa damu (14-25)

  • 8

    • Pigo la 2: vyura (1-15)

    • Pigo la 3: mbu (16-19)

    • Pigo la 4: nzi (20-32)

      • Nchi ya Gosheni haikuathiriwa (22, 23)

  • 9

    • Pigo la 5: kufa kwa mifugo (1-7)

    • Pigo la 6: wanadamu na wanyama wapatwa na majipu (8-12)

    • Pigo la 7: mvua ya mawe (13-35)

      • Farao ataona nguvu za Mungu (16)

      • Jina la Yehova litatangazwa (16)

  • 10

    • Pigo la 8: nzige (1-20)

    • Pigo la 9: giza (21-29)

  • 11

    • Pigo la kumi latangazwa (1-10)

      • Waisraeli watawaomba Wamisri zawadi (2)

  • 12

    • Kuanzishwa kwa Pasaka (1-28)

      • Damu itanyunyizwa kwenye miimo ya mlango (7)

    • Pigo la 10: wazaliwa wa kwanza wauawa (29-32)

    • Safari ya Kutoka Misri yaanza (33-42)

      • Miaka 430 yafikia mwisho (40, 41)

    • Maagizo ya kushiriki Pasaka (43-51)

  • 13

    • Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume ni wa Yehova (1, 2)

    • Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu (3-10)

    • Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atolewa kwa Mungu (11-16)

    • Waisraeli waelekezwa kwenye Bahari Nyekundu (17-20)

    • Nguzo ya wingu na moto (21, 22)

  • 14

    • Waisraeli wafika baharini (1-4)

    • Farao awafuatia Waisraeli (5-14)

    • Waisraeli wavuka Bahari Nyekundu (15-25)

    • Wamisri wazama baharini (26-28)

    • Waisraeli wawa na imani katika Yehova (29-31)

  • 15

    • Musa na Waisraeli waimba wimbo wa ushindi (1-19)

    • Miriamu aimba akiwaitikia wanaume (20, 21)

    • Maji machungu yageuzwa kuwa matamu (22-27)

  • 16

    • Waisraeli wanung’unika kuhusu chakula (1-3)

    • Yehova asikia manung’uniko yao (4-12)

    • Wapewa mana na kware (13-21)

    • Hakuna mana siku ya Sabato (22-30)

    • Mana yahifadhiwa kuwa ukumbusho (31-36)

  • 17

    • Walalamika kuhusu ukosefu wa maji huko Horebu (1-4)

    • Maji yatoka mwambani (5-7)

    • Waamaleki wawashambulia na kuwashinda (8-16)

  • 18

    • Yethro na Sipora wawasili (1-12)

    • Ushauri wa Yethro wa kuwaweka waamuzi (13-27)

  • 19

    • Kwenye Mlima Sinai (1-25)

      • Waisraeli watakuwa ufalme wa makuhani (5, 6)

      • Watu watakaswa ili wakutane na Mungu (14, 15)

  • 20

    • Amri Kumi (1-17)

    • Matukio ya ajabu yawaogopesha Waisraeli (18-21)

    • Maagizo kuhusu ibada (22-26)

  • 21

    • Waisraeli wapewa sheria (1-36)

      • Kuhusu watumwa Waebrania (2-11)

      • Kuhusu kumtendea mtu mwingine kwa ukatili (12-27)

      • Kuhusu wanyama (28-36)

  • 22

    • Waisraeli wapewa sheria (1-31)

      • Kuhusu wizi (1-4)

      • Kuhusu kuharibu mazao (5, 6)

      • Kuhusu kulipia hasara na kumiliki mali (7-15)

      • Kuhusu kutongoza (16, 17)

      • Kuhusu ibada na kutenda haki katika jamii (18-31)

  • 23

    • Waisraeli wapewa sheria (1-19)

      • Kuhusu unyoofu na kutenda wema (1-9)

      • Kuhusu sabato na sherehe mbalimbali (10-19)

    • Waisraeli waongozwa na malaika (20-26)

    • Kuimiliki nchi na mipaka ya nchi (27-33)

  • 24

    • Watu wakubali kushika agano (1-11)

    • Musa akiwa kwenye Mlima Sinai (12-18)

  • 25

    • Michango kwa ajili ya hema la ibada (1-9)

    • Sanduku la Agano (10-22)

    • Meza (23-30)

    • Kinara cha taa (31-40)

  • 26

    • Hema la ibada (1-37)

      • Vitambaa vya hema (1-14)

      • Viunzi na vikalio (15-30)

      • Mapazia (31-37)

  • 27

    • Madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa (1-8)

    • Ua (9-19)

    • Mafuta kwa ajili ya taa (20, 21)

  • 28

    • Mavazi ya kuhani (1-5)

    • Efodi (6-14)

    • Kifuko cha kifuani (15-30)

      • Urimu na Thumimu (30)

    • Joho lisilo na mikono (31-35)

    • Kilemba chenye bamba la dhahabu (36-39)

    • Mavazi mengine ya kuhani (40-43)

  • 29

    • Makuhani wawekwa rasmi (1-37)

    • Matoleo ya kila siku (38-46)

  • 30

    • Madhabahu ya uvumba (1-10)

    • Kuhesabiwa kwa watu na pesa za dhabihu ya kufunika dhambi (11-16)

    • Beseni la shaba la kunawia mikono na miguu (17-21)

    • Mchanganyiko wa pekee wa mafuta yanayotumiwa kutia mafuta (22-33)

    • Utaratibu wa kutengeneza uvumba mtakatifu (34-38)

  • 31

    • Mafundi wajazwa roho ya Mungu (1-11)

    • Sabato, ishara kati ya Mungu na Waisraeli (12-17)

    • Mabamba mawili ya mawe (18)

  • 32

    • Ibada ya ndama wa dhahabu (1-35)

      • Musa asikia uimbaji usio wa kawaida (17, 18)

      • Musa ayavunjavunja mabamba ya sheria (19)

      • Walawi wabaki washikamanifu kwa Yehova (26-29)

  • 33

    • Mungu awakaripia Waisraeli (1-6)

    • Hema la mkutano nje ya kambi (7-11)

    • Musa aomba kuona utukufu wa Yehova (12-23)

  • 34

    • Mabamba mapya ya mawe yatengenezwa (1-4)

    • Musa aona utukufu wa Yehova (5-9)

    • Maagizo kuhusu agano yarudiwa (10-28) (10-28)

    • Uso wa Musa watoa miale (29-35)

  • 35

    • Maagizo kuhusu Sabato (1-3)

    • Michango ya hema la ibada (4-29)

    • Bezaleli na Oholiabu wajazwa roho (30-35)

  • 36

    • Michango yazidi (1-7)

    • Ujenzi wa hema la ibada (8-38)

  • 37

    • Kutengeneza sanduku la agano (1-9)

    • Meza (10-16)

    • Kinara cha taa (17-24)

    • Madhabahu ya uvumba (25-29)

  • 38

    • Madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa (1-7)

    • Beseni la shaba (8)

    • Ua (9-20)

    • Orodha ya vifaa vya hema la ibada (21-31)

  • 39

    • Kutengeneza mavazi ya kuhani (1)

    • Efodi (2-7)

    • Kifuko cha kifuani (8-21)

    • Joho lisilo na mikono (22-26)

    • Mavazi mengine ya kuhani (27-29)

    • Bamba la dhahabu (30, 31)

    • Musa akagua hema la ibada (32-43)

  • 40

    • Ujenzi wa hema la ibada (1-33)

    • Utukufu wa Yehova wajaa katika hema la ibada (34-38)