ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 Kitabu cha Waamuzi Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Ushindi wa Yuda na Simeoni (1-20) Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu (21) Yosefu anakamata Beteli (22-26) Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36) 2 Onyo la malaika wa Yehova (1-5) Kifo cha Yoshua (6-10) Mungu anainua waamuzi ili kuokoa Israeli (11-23) 3 Yehova anajaribu Israeli (1-6) Otnieli, muamuzi wa kwanza (7-11) Muamuzi Ehudi anamuua Mufalme Egloni mwenye alikuwa munene (12-30) Muamuzi Shamgari (31) 4 Mufalme Yabini wa Kanaani anakandamiza Israeli (1-3) Nabii mwanamuke Debora na Muamuzi Baraka (4-16) Yaeli anamuua Sisera mukubwa wa jeshi (17-24) 5 Wimbo wa ushindi wa Debora na Baraka (1-31) Nyota zinapigana na Sisera (20) Maji mengi ya Kishoni (21) Wenye kumupenda Yehova wako kama jua (31) 6 Wamidiani wanakandamiza Israeli (1-10) Malaika anamuhakikishia Muamuzi Gideoni kuwa atapata musaada (11-24) Gideoni anabomoa mazabahu ya Baali (25-32) Roho ya Mungu inatenda juu ya Gideoni (33-35) Jaribio la manyoya (36-40) 7 Gideoni na wanaume mia tatu (1-8) Jeshi la Gideoni linapata ushindi juu ya Midiani (9-25) “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” (20) Muvurugo katika kambi ya Midiani (21, 22) 8 Waefraimu wanamulaumu Gideoni (1-3) Wafalme Wamidiani wanafuatiliwa na kuuawa (4-21) Gideoni anakataa kuwa mufalme (22-27) Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35) 9 Abimeleki anakuwa mufalme kule Shekemu (1-6) Mufano wa Yotamu wa miti (7-21) Abimeleki anatawala kwa jeuri (22-33) Abimeleki anashambulia Shekemu (34-49) Mwanamuke anamuumiza Abimeleki; Abimeleki anakufa (50-57) 10 Waamuzi Tola na Yairi (1-5) Israeli wanaasi na wanatubu (6-16) Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18) 11 Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11) Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28) Naziri ya Yefta na binti yake (29-40) Binti ya Yefta anaishi bila kuolewa (38-40) 12 Ugomvi na Waefraimu (1-7) Jaribio la kusema neno Shiboleti (6) Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15) 13 Malaika anamutembelea Manoa na bibi yake (1-23) Samsoni anazaliwa (24, 25) 14 Muamuzi Samsoni anatafuta bibi Mufilisti (1-4) Roho ya Yehova inawezesha Samsoni kuua simba (5-9) Kitendawili cha Samsoni kwenye karamu ya ndoa (10-19) Mwanaume mwingine anapewa bibi ya Samsoni (20) 15 Kisasi cha Samsoni juu ya Wafilisti (1-20) 16 Samsoni katika Gaza (1-3) Samsoni na Delila (4-22) Kisasi cha Samsoni na kifo chake (23-31) 17 Sanamu za Mika na kuhani wake (1-13) 18 Wadani wanatafuta inchi (1-31) Kukamatwa kwa sanamu za Mika na kuhani wake (14-20) Muji wa Laishi unakamatwa na kupewa jina Dani (27-29) Ibada ya sanamu katika Dani (30, 31) 19 Wabenyamini wanafanya kosa kubwa la ngono katika Gibea (1-30) 20 Wabenyamini wanashambuliwa (1-48) 21 Kabila la Benyamini linaokolewa (1-25) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE Waamuzi—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) Judges—Outline of Contents Kiswahili (Congo) Judges—Outline of Contents https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/e781f8601f/images/syn_placeholder_sqr.png