Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Kwanza cha Samweli

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Elkana na wake zake (1-8)

    • Hana ambaye hakuwa na mtoto asali apate mwana (9-18)

    • Samweli azaliwa na kukabidhiwa kwa Yehova (19-28)

  • 2

    • Sala ya Hana (1-11)

    • Dhambi za wana wawili wa Eli (12-26)

    • Yehova aihukumu nyumba ya Eli (27-36)

  • 3

    • Samweli aitwa awe nabii (1-21)

  • 4

    • Wafilisti wateka sanduku la agano (1-11)

    • Eli na wanawe wafa (12-22)

  • 5

    • Sanduku la agano katika eneo la Wafilisti (1-12)

      • Dagoni aaibishwa (1-5)

      • Wafilisti waletewa pigo (6-12)

  • 6

    • Wafilisti warudisha sanduku la agano Israeli (1-21)

  • 7

    • Sanduku la agano laletwa Kiriath-yearimu (1)

    • Samweli ahimiza hivi: ‘Mtumikieni Yehova peke yake’ (2-6)

    • Ushindi wa Waisraeli kule Mispa (7-14)

    • Samweli awa mwamuzi wa Israeli (15-17)

  • 8

    • Waisraeli wataka mfalme (1-9)

    • Samweli awaonya watu (10-18)

    • Yehova akubali ombi la kutaka mfalme (19-22)

  • 9

    • Samweli akutana na Sauli (1-27)

  • 10

    • Sauli atiwa mafuta kuwa mfalme (1-16)

    • Sauli atangazwa kuwa mfalme mbele ya watu (17-27)

  • 11

    • Sauli awashinda Waamoni (1-11)

    • Sauli atangazwa tena kuwa mfalme (12-15)

  • 12

    • Hotuba ya mwisho ya Samweli (1-25)

      • ‘Msifuate vitu vya ubatili’ (21)

      • Yehova hatawaacha watu wake (22)

  • 13

    • Sauli achagua jeshi (1-4)

    • Sauli atenda kwa kimbelembele (5-9)

    • Samweli amkaripia Sauli (10-14)

    • Waisraeli hawakuwa na silaha (15-23)

  • 14

    • Yonathani aenda kupigana kule Mikmashi (1-14)

    • Mungu awashinda maadui wa Waisraeli (15-23)

    • Sauli afanya kiapo bila kufikiria (24-46)

      • Watu wala nyama pamoja na damu (32-34)

    • Vita vya Sauli; familia yake (47-52)

  • 15

    • Sauli akosa kutii kwa kumwacha hai Agagi (1-9)

    • Samweli amkaripia Sauli (10-23)

      • “Kutii ni bora kuliko dhabihu” (22)

    • Sauli akataliwa asiendelee kuwa mfalme (24-29)

    • Samweli amuua Agagi (30-35)

  • 16

    • Samweli amtia mafuta Daudi kuwa mfalme anayefuata (1-13)

      • “Yehova huona ndani ya moyo” (7)

    • Sauli anyang’anywa roho ya Mungu (14-17)

    • Daudi awa mpiga kinubi wa Sauli (18-23)

  • 17

    • Daudi amshinda Goliathi (1-58)

      • Goliathi awatukana Waisraeli (8-10)

      • Daudi akubali kupigana na Goliathi (32-37)

      • Daudi apigana kwa jina la Yehova (45-47)

  • 18

    • Urafiki wa Daudi na Yonathani (1-4)

    • Sauli ashikwa na wivu kwa sababu ya ushindi wa Daudi (5-9)

    • Sauli ajaribu kumuua Daudi (10-19)

    • Daudi amwoa Mikali binti ya Sauli (20-30)

  • 19

    • Sauli aendelea kumchukia Daudi (1-13)

    • Daudi amkimbia Sauli (14-24)

  • 20

    • Yonathani awa mshikamanifu kwa Daudi (1-42)

  • 21

    • Daudi ala mikate ya wonyesho kule Nobu (1-9)

    • Daudi ajifanya mwenda wazimu kule Gathi (10-15)

  • 22

    • Daudi akiwa Adulamu na Mispe (1-5)

    • Sauli aagiza makuhani wa Nobu wauawe (6-19)

    • Abiathari atoroka (20-23)

  • 23

    • Daudi aliokoa jiji la Keila (1-12)

    • Sauli amfuatia Daudi (13-15)

    • Yonathani amtia nguvu Daudi (16-18)

    • Daudi anusurika kukamatwa na Sauli (19-29)

  • 24

    • Daudi amwacha hai Sauli (1-22)

      • Daudi amheshimu mtiwa-mafuta wa Yehova (6)

  • 25

    • Kifo cha Samweli (1)

    • Nabali awafukuza wanaume wa Daudi (2-13)

    • Abigaili atenda kwa hekima (14-35)

      • ‘Yehova ataufungia uhai katika mfuko wa uzima’ (29)

    • Yehova amuua Nabali aliyekuwa mpumbavu (36-38)

    • Abigaili awa mke wa Daudi (39-44)

  • 26

    • Daudi amwacha hai tena Sauli (1-25)

      • Daudi amheshimu mtiwa-mafuta wa Yehova (11)

  • 27

    • Wafilisti wampa Daudi Siklagi (1-12)

  • 28

    • Sauli amtembelea mtu anayewasiliana na roho waovu kule En-dori (1-25)

  • 29

    • Wafilisti hawamwamini Daudi (1-11)

  • 30

    • Waamaleki wavamia na kuchoma moto Siklagi (1-6)

      • Daudi apata nguvu kutoka kwa Mungu (6)

    • Daudi awashinda Waamaleki (7-31)

      • Watu waliotekwa wachukuliwa na Daudi (18, 19)

      • Sheria ya Daudi kuhusu nyara (23, 24)

  • 31

    • Kifo cha Sauli na wanawe watatu (1-13)