Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Pili cha Samweli

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Daudi apata habari za kifo cha Sauli (1-16)

    • Daudi aimba wimbo wa kumwombolezea Sauli na Yonathani (17-27)

  • 2

    • Daudi, mfalme wa Yuda (1-7)

    • Ish-boshethi, mfalme wa Israeli (8-11)

    • Vita kati ya nyumba ya Daudi na nyumba ya Sauli (12-32)

  • 3

    • Nyumba ya Daudi yazidi kupata nguvu (1)

    • Wana wa Daudi (2-5)

    • Abneri ajiunga na Daudi (6-21)

    • Yoabu amuua Abneri (22-30)

    • Daudi amwombolezea Abneri (31-39)

  • 4

    • Ish-boshethi auawa (1-8)

    • Daudi aagiza waliomuua Ish-boshethi wauawe (9-12)

  • 5

    • Daudi awekwa kuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli (1-5)

    • Yerusalemu latekwa (6-16)

      • Sayuni, Jiji la Daudi (7)

    • Daudi awashinda Wafilisti (17-25)

  • 6

    • Sanduku la agano laletwa Yerusalemu (1-23)

      • Uza alikamata sanduku la agano na kuuawa (6-8)

      • Mikali amdharau Daudi (16, 20-23)

  • 7

    • Daudi hatajenga hekalu (1-7)

    • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (8-17)

    • Sala ya Daudi ya shukrani (18-29)

  • 8

    • Ushindi mbalimbali wa Daudi (1-14)

    • Wakuu katika utawala wa Daudi (15-18)

  • 9

    • Daudi amtendea Mefiboshethi kwa upendo mshikamanifu (1-13)

  • 10

    • Awashinda Waamoni na Wasiria (1-19)

  • 11

    • Daudi afanya uzinzi na Bath-sheba (1-13)

    • Daudi apanga Uria auawe (14-25)

    • Daudi amchukua Bath-sheba kuwa mke wake (26, 27)

  • 12

    • Nathani amkaripia Daudi (1-15a)

    • Mwana wa Bath-sheba afa (15b-23)

    • Bath-sheba amzaa Sulemani (24, 25)

    • Jiji la Raba la Waamoni latekwa (26-31)

  • 13

    • Amnoni ambaka Tamari (1-22)

    • Absalomu amuua Amnoni (23-33)

    • Absalomu akimbilia Geshuri (34-39)

  • 14

    • Yoabu na mwanamke Mtekoa (1-17)

    • Daudi agundua njama ya Yoabu (18-20)

    • Absalomu aruhusiwa kurudi (21-33)

  • 15

    • Njama na uasi wa Absalomu (1-12)

    • Daudi akimbia kutoka Yerusalemu (13-30)

    • Ahithofeli ajiunga na Absalomu (31)

    • Hushai atumwa kuvuruga ushauri wa Ahithofeli (32-37)

  • 16

    • Siba amchongea Mefiboshethi (1-4)

    • Shimei amtukana Daudi (5-14)

    • Absalomu ampokea Hushai (15-19)

    • Ushauri wa Ahithofeli (20-23)

  • 17

    • Hushai avuruga ushauri wa Ahithofeli (1-14)

    • Daudi aonywa; amtoroka Absalomu (15-29)

      • Barzilai na wengine wamletea vyakula (27-29)

  • 18

    • Absalomu ashindwa; kifo chake (1-18)

    • Daudi ajulishwa kuhusu kifo cha Absalomu (19-33)

  • 19

    • Daudi amwombolezea Absalomu (1-4)

    • Yoabu amkaripia Daudi (5-8a)

    • Daudi arudi Yerusalemu (8b-15)

    • Shimei aomba msamaha (16-23)

    • Mefiboshethi athibitishwa kuwa hana hatia (24-30)

    • Barzilai aheshimiwa (31-40)

    • Makabila yazozana (41-43)

  • 20

    • Uasi wa Sheba; Yoabu amuua Amasa (1-13)

    • Sheba afuatwa na kukatwa kichwa (14-22)

    • Wakuu katika utawala wa Daudi (23-26)

  • 21

    • Nyumba ya Sauli yalipizwa kisasi kwa ajili ya Wagibeoni (1-14)

    • Vita dhidi ya Wafilisti (15-22)

  • 22

    • Daudi amsifu Mungu kwa sababu ya matendo yake ya wokovu (1-51)

      • “Yehova ni jabali langu” (2)

      • Yehova ni mshikamanifu kwa walio washikamanifu (26)

  • 23

    • Maneno ya mwisho ya Daudi (1-7)

    • Mambo yaliyotendwa na mashujaa hodari wa Daudi (8-39)

  • 24

    • Dhambi ya Daudi ya kuwahesabu watu (1-14)

    • Ugonjwa hatari wasababisha vifo vya watu 70,000 (15-17)

    • Daudi ajenga madhabahu (18-25)

      • Hatatoa dhabihu ambazo hazimgharimu (24)