Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Kwanza cha Wafalme

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Daudi na Abishagi (1-4)

    • Adoniya atafuta kiti cha ufalme (5-10)

    • Nathani na Bath-sheba wachukua hatua (11-27)

    • Daudi aagiza Sulemani atiwe mafuta (28-40)

    • Adoniya akimbilia kwenye madhabahu (41-53)

  • 2

    • Daudi ampa maagizo Sulemani (1-9)

    • Daudi afa; Sulemani aketi kwenye kiti cha ufalme (10-12)

    • Njama ya Adoniya yasababisha auawe (13-25)

    • Abiathari afukuzwa; Yoabu auawa (26-35)

    • Shimei auawa (36-46)

  • 3

    • Sulemani amwoa binti ya Farao (1-3)

    • Yehova amtokea Sulemani katika ndoto (4-15)

      • Sulemani aomba hekima (7-9)

    • Sulemani aamua kesi ya mama wawili (16-28)

  • 4

    • Wasimamizi katika utawala wa Sulemani (1-19)

    • Ufanisi katika utawala wa Sulemani (20-28)

      • Wakaa kwa usalama chini ya mzabibu na mtini (25)

    • Hekima na methali za Sulemani (29-34)

  • 5

    • Mfalme Hiramu ampa Sulemani vifaa vya ujenzi (1-12)

    • Wafanyakazi wa Sulemani walioandikishwa (13-18)

  • 6

    • Sulemani ajenga hekalu (1-38)

      • Chumba cha ndani zaidi (19-22)

      • Makerubi (23-28)

      • Michongo, milango, ua wa ndani (29-36)

      • Hekalu lakamilishwa kwa muda wa miaka saba hivi (37, 38)

  • 7

    • Majengo yaliyozunguka jumba la Mfalme Sulemani (1-12)

    • Hiramu mwenye ustadi amsaidia Sulemani (13-47)

      • Nguzo mbili za shaba (15-22)

      • Bahari ya madini yaliyoyeyushwa (23-26)

      • Magari kumi na mabeseni ya shaba (27-39)

    • Vyombo vya dhahabu vyakamilishwa (48-51)

  • 8

    • Sanduku la agano laletwa hekaluni (1-13)

    • Sulemani awahutubia watu (14-21)

    • Sala ya Sulemani ya kuweka wakfu hekalu (22-53)

    • Sulemani awabariki watu (54-61)

    • Dhabihu na sherehe ya wakfu (62-66)

  • 9

    • Yehova amtokea tena Sulemani (1-9)

    • Zawadi ya Sulemani kwa Mfalme Hiramu (10-14)

    • Miradi mbalimbali ya Sulemani (15-28)

  • 10

    • Malkia wa Sheba amtembelea Sulemani (1-13)

    • Utajiri mwingi wa Sulemani (14-29)

  • 11

    • Wake za Sulemani waugeuza moyo wake (1-13)

    • Wapinzani wa Sulemani (14-25)

    • Yeroboamu aahidiwa makabila kumi (26-40)

    • Sulemani afa; Rehoboamu awekwa kuwa mfalme (41-43)

  • 12

    • Rehoboamu awajibu watu kwa ukali (1-15)

    • Makabila kumi yaasi (16-19)

    • Yeroboamu awekwa kuwa mfalme wa Israeli (20)

    • Rehoboamu aambiwa asipigane na Waisraeli (21-24)

    • Yeroboamu aanzisha ibada ya ndama (25-33)

  • 13

    • Unabii dhidi ya madhabahu ya Betheli (1-10)

      • Madhabahu yapasuka (5)

    • Mtu wa Mungu akosa kutii (11-34)

  • 14

    • Unabii wa Ahiya dhidi ya Yeroboamu (1-20)

    • Rehoboamu atawala Yuda (21-31)

      • Shishaki ashambulia (25, 26)

  • 15

    • Abiyamu, mfalme wa Yuda (1-8)

    • Asa, mfalme wa Yuda (9-24)

    • Nadabu, mfalme wa Israeli (25-32)

    • Baasha, mfalme wa Israeli (33, 34)

  • 16

    • Hukumu ya Yehova dhidi ya Baasha (1-7)

    • Ela, mfalme wa Israeli (8-14)

    • Zimri, mfalme wa Israeli (15-20)

    • Omri, mfalme wa Israeli (21-28)

    • Ahabu, mfalme wa Israeli (29-33)

    • Hieli ajenga upya Yeriko (34)

  • 17

    • Nabii Eliya atabiri ukame (1)

    • Eliya alishwa na kunguru (2-7)

    • Eliya amtembelea mjane kule Sarefathi (8-16)

    • Mwana wa mjane afa na kufufuliwa (17-24)

  • 18

    • Eliya akutana na Obadia na Ahabu (1-18)

    • Eliya apambana na manabii wa Baali kule Karmeli (19-40)

      • “Kuyumbayumba kati ya maoni mawili” (21)

    • Ukame wa miaka mitatu na nusu waisha (41-46)

  • 19

    • Eliya akimbia ghadhabu ya Yezebeli (1-8)

    • Yehova amtokea Eliya kule Horebu (9-14)

    • Eliya aambiwa amtie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18)

    • Elisha awekwa rasmi kuchukua nafasi ya Eliya (19-21)

  • 20

    • Wasiria wapigana vita dhidi ya Ahabu (1-12)

    • Ahabu awashinda Wasiria (13-34)

    • Unabii dhidi ya Ahabu (35-43)

  • 21

    • Ahabu atamani shamba la mizabibu la Nabothi (1-4)

    • Yezebeli apanga njama ya kumuua Nabothi (5-16)

    • Ujumbe wa Eliya dhidi ya Ahabu (17-26)

    • Ahabu ajinyenyekeza (27-29)

  • 22

    • Yehoshafati aungana na Ahabu (1-12)

    • Mikaya atabiri kwamba watashindwa (13-28)

      • Roho ya udanganyifu itampumbaza Ahabu (21, 22)

    • Ahabu auawa huko Ramothi-gileadi (29-40)

    • Yehoshafati atawala Yuda (41-50)

    • Ahazia mfalme wa Israeli (51-53)