ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 Kitabu cha Kwanza cha Wafalme Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Daudi na Abishagi (1-4) Adoniya anatafuta kiti cha ufalme (5-10) Natani na Bat-sheba wanachukua hatua (11-27) Daudi anaagiza kwamba Sulemani atiwe mafuta (28-40) Adoniya anakimbilia kwenye mazabahu (41-53) 2 Daudi anamupatia Sulemani maagizo (1-9) Daudi anakufa; Sulemani kwenye kiti cha ufalme (10-12) Mupango mubaya wa Adoniya unaongoza kwenye kifo chake (13-25) Abiatari anafukuzwa; Yoabu anauawa (26-35) Shimei anauawa (36-46) 3 Sulemani anamuoa binti ya Farao (1-3) Yehova anamutokea Sulemani katika ndoto (4-15) Sulemani anaomba hekima (7-9) Sulemani anaamua kesi ya mama wawili (16-28) 4 Usimamizi katika utawala wa Sulemani (1-19) Mafanikio katika utawala wa Sulemani (20-28) Usalama chini ya muzabibu na muti wa tini (25) Hekima na mezali za Sulemani (29-34) 5 Mufalme Hiramu anatoa vifaa vya ujenzi (1-12) Watu wa Sulemani wenye waliandikishwa kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa (13-18) 6 Sulemani anajenga hekalu (1-38) Chumba cha ndani kabisa (19-22) Makerubi (23-28) Michongo, milango, kiwanja cha ndani (29-36) Hekalu linamalizika katika miaka saba hivi (37, 38) 7 Majengo yenye kuzunguka nyumba ya kifalme ya Sulemani (1-12) Hiramu mwenye ufundi anamusaidia Sulemani (13-47) Nguzo mbili za shaba (15-22) Bahari ya metali yenye kuyeyushwa (23-26) Magari kumi na beseni za shaba (27-39) Vyombo vya zahabu vinamalizwa (48-51) 8 Sanduku linaletwa katika hekalu (1-13) Sulemani anasema na watu (14-21) Sala ya Sulemani ya kumutolea Mungu hekalu (22-53) Sulemani anabariki watu (54-61) Zabihu na sikukuu ya kumutolea Mungu hekalu (62-66) 9 Yehova anamutokea tena Sulemani (1-9) Zawadi ya Sulemani kwa Mufalme Hiramu (10-14) Mipango mbalimbali ya Sulemani (15-28) 10 Malkia wa Sheba anamutembelea Sulemani (1-13) Utajiri mukubwa wa Sulemani (14-29) 11 Bibi za Sulemani wanageuza moyo wake (1-13) Wapinzani wa Sulemani (14-25) Yeroboamu anaahidiwa makabila kumi (26-40) Sulemani anakufa; Rehoboamu anafanywa kuwa mufalme (41-43) 12 Jibu la ukali la Rehoboamu (1-15) Makabila kumi yanaasi (16-19) Yeroboamu anafanywa kuwa mufalme wa Israeli (20) Rehoboamu anaambiwa asipigane na Israeli (21-24) Ibada ya Yeroboamu ya kitoto-dume cha ngombe (25-33) 13 Unabii juu ya mazabahu ya Beteli (1-10) Mazabahu inapasuka (5) Mutu wa Mungu anakosa kutii (11-34) 14 Unabii wa Ahiya juu ya Yeroboamu (1-20) Rehoboamu anatawala juu ya Yuda (21-31) Shishaki anashambulia (25, 26) 15 Abiyamu, mufalme wa Yuda (1-8) Asa, mufalme wa Yuda (9-24) Nadabu, mufalme wa Israeli (25-32) Baasha, mufalme wa Israeli (33, 34) 16 Hukumu ya Yehova juu ya Baasha (1-7) Ela, mufalme wa Israeli (8-14) Zimri, mufalme wa Israeli (15-20) Omri, mufalme wa Israeli (21-28) Ahabu, mufalme wa Israeli (29-33) Hieli anajenga upya Yeriko (34) 17 Nabii Eliya anatabiri ukame (1) Eliya analishwa na kunguru (2-7) Eliya anamutembelea mujane katika Sarefati (8-16) Mwana wa mujane anakufa na anafufuliwa (17-24) 18 Eliya anakutana na Obadia na Ahabu (1-18) Eliya anapambana na manabii wa Baali kule Karmeli (19-40) “Kuyumba-yumba kati ya mawazo mbili” (21) Ukame wa miaka tatu na nusu unaisha (41-46) 19 Eliya anakimbia kasirani kali ya Yezebeli (1-8) Yehova anamutokea Eliya kule Horebu (9-14) Eliya anaambiwa amutie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18) Elisha anawekwa ili kuchukua nafasi ya Eliya (19-21) 20 Wasiria wanapigana vita na Ahabu (1-12) Ahabu anashinda Wasiria (13-34) Unabii juu ya Ahabu (35-43) 21 Ahabu anatamani shamba la mizabibu la Naboti (1-4) Yezebeli anapanga mupango wa kumuua Naboti (5-16) Ujumbe wa Eliya juu ya Ahabu (17-26) Ahabu anajinyenyekeza (27-29) 22 Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-12) Mikaya anatabiri kushindwa (13-28) Roho ya udanganyifu ili kumudanganya Ahabu (21, 22) Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (29-40) Utawala wa Yehoshafati juu ya Yuda (41-50) Ahazia mufalme wa Israeli (51-53) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE 1 Wafalme—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) 1 Wafalme—Habari Zenye Kuwa Ndani Kiswahili (Congo) 1 Wafalme—Habari Zenye Kuwa Ndani https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/e781f8601f/images/syn_placeholder_sqr.png