Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Sulemani aomba hekima (1-12)

    • Utajiri wa Sulemani (13-17)

  • 2

    • Matayarisho ya kujenga hekalu (1-18)

  • 3

    • Sulemani aanza kujenga hekalu (1-7)

    • Patakatifu Zaidi (8-14)

    • Nguzo mbili za shaba (15-17)

  • 4

    • Madhabahu, Bahari, na mabeseni (1-6)

    • Vinara vya taa, meza, na nyua (7-11a)

    • Vyombo vyote vya hekalu vyakamilishwa (11b-22)

  • 5

    • Matayarisho ya kuzindua hekalu (1-14)

      • Sanduku la agano laletwa hekaluni (2-10)

  • 6

    • Hotuba ya Sulemani (1-11)

    • Sala ya Sulemani ya kuzindua hekalu (12-42)

  • 7

    • Hekalu lajaa utukufu wa Yehova (1-3)

    • Sherehe za kuzindua hekalu (4-10)

    • Yehova amtokea Sulemani (11-22)

  • 8

    • Miradi mingine ya ujenzi ya Sulemani (1-11)

    • Ibada ya hekaluni yapangwa (12-16)

    • Meli za Sulemani (17, 18)

  • 9

    • Malkia wa Sheba amtembelea Sulemani (1-12)

    • Utajiri wa Sulemani (13-28)

    • Kifo cha Sulemani (29-31)

  • 10

    • Waisraeli wamwasi Rehoboamu (1-19)

  • 11

    • Utawala wa Rehoboamu (1-12)

    • Walawi washikamanifu wahamia Yuda (13-17)

    • Familia ya Rehoboamu (18-23)

  • 12

    • Shishaki ashambulia Yerusalemu (1-12)

    • Mwisho wa utawala wa Rehoboamu (13-16)

  • 13

    • Abiya, mfalme wa Yuda (1-22)

      • Abiya amshinda Yeroboamu (3-20)

  • 14

    • Kifo cha Abiya (1)

    • Asa, mfalme wa Yuda (2-8)

    • Asa awashinda Waethiopia 1,000,000 (9-15)

  • 15

    • Mabadiliko yaliyofanywa na Asa (1-19)

  • 16

    • Asa afanya mkataba na Siria (1-6)

    • Hanani amkemea Asa (7-10)

    • Kifo cha Asa (11-14)

  • 17

    • Yehoshafati, mfalme wa Yuda (1-6)

    • Kampeni ya kufundisha (7-9)

    • Nguvu za kijeshi za Yehoshafati (10-19)

  • 18

    • Yehoshafati aungana na Ahabu (1-11)

    • Mikaya atabiri kwamba watashindwa (12-27)

    • Ahabu auawa Ramoth-gileadi (28-34)

  • 19

    • Yehu amkemea Yehoshafati (1-3)

    • Mabadiliko yaliyofanywa na Yehoshafati (4-11)

  • 20

    • Mataifa jirani yawatisha watu wa Yuda (1-4)

    • Yehoshafati asali apate msaada (5-13)

    • Jibu la Yehova (14-19)

    • Watu wa Yuda waokolewa kimuujiza (20-30)

    • Mwisho wa utawala wa Yehoshafati (31-37)

  • 21

    • Yehoramu, mfalme wa Yuda (1-11)

    • Barua kutoka kwa Eliya (12-15)

    • Mwisho mbaya wa Yehoramu (16-20)

  • 22

    • Ahazia, mfalme wa Yuda (1-9)

    • Athalia anyakua ufalme (10-12)

  • 23

    • Yehoyada aingilia kati; Yehoashi awekwa kuwa mfalme (1-11)

    • Athalia auawa (12-15)

    • Mabadiliko yaliyofanywa na Yehoyada (16-21)

  • 24

    • Utawala wa Yehoashi (1-3)

    • Yehoashi arekebisha hekalu (4-14)

    • Uasi imani wa Yehoashi (15-22)

    • Yehoashi auawa (23-27)

  • 25

    • Amazia, mfalme wa Yuda (1-4)

    • Apigana vita na Edomu (5-13)

    • Amazia aabudu sanamu (14-16)

    • Apigana vita na Mfalme Yehoashi wa Israeli (17-24)

    • Kifo cha Amazia (25-28)

  • 26

    • Uzia, mfalme wa Yuda (1-5)

    • Kampeni za kivita za Uzia (6-15)

    • Uzia mwenye kiburi apigwa na ukoma (16-21)

    • Kifo cha Uzia (22, 23)

  • 27

    • Yothamu, mfalme wa Yuda (1-9)

  • 28

    • Ahazi, mfalme wa Yuda (1-4)

    • Ashindwa na Wasiria na Waisraeli (5-8)

    • Odedi awaonya Waisraeli (9-15)

    • Watu wa Yuda wanyenyekezwa (16-19)

    • Ahazi aabudu sanamu; kifo chake (20-27)

  • 29

    • Hezekia, mfalme wa Yuda (1, 2)

    • Mabadiliko yaliyofanywa na Hezekia (3-11)

    • Hekalu latakaswa (12-19)

    • Utumishi wa hekaluni waanzishwa tena (20-36)

  • 30

    • Hezekia aadhimisha Pasaka (1-27)

  • 31

    • Hezekia aung’oa uasi imani (1)

    • Makuhani na Walawi wategemezwa ifaavyo (2-21)

  • 32

    • Senakeribu alitisha jiji la Yerusalemu (1-8)

    • Senakeribu ampinga Yehova (9-19)

    • Malaika aangamiza jeshi la Ashuru (20-23)

    • Ugonjwa wa Hezekia na kiburi chake (24-26)

    • Mambo aliyotimiza Hezekia na kifo chake (27-33)

  • 33

    • Manase, mfalme wa Yuda (1-9)

    • Manase atubu uovu wake (10-17)

    • Kifo cha Manase (18-20)

    • Amoni, mfalme wa Yuda (21-25)

  • 34

    • Yosia, mfalme wa Yuda (1, 2)

    • Mabadiliko yaliyofanywa na Yosia (3-13)

    • Kitabu cha Sheria chapatikana (14-21)

    • Unabii wa Hulda kuhusu msiba (22-28)

    • Yosia awasomea watu kitabu kilichopatikana (29-33)

  • 35

    • Yosia apanga Pasaka kubwa (1-19)

    • Farao Neko amuua Yosia (20-27)

  • 36

    • Yehoahazi, mfalme wa Yuda (1-3)

    • Yehoyakimu, mfalme wa Yuda (4-8)

    • Yehoyakini, mfalme wa Yuda (9, 10)

    • Sedekia, mfalme wa Yuda (11-14)

    • Uharibifu wa Yerusalemu (15-21)

    • Koreshi aagiza hekalu lijengwe upya (22, 23)