Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mhubiri

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Kila kitu ni ubatili (1-11)

      • Dunia inadumu milele (4)

      • Mizunguko ya asili huendelea (5-7)

      • Hakuna jambo jipya chini ya jua (9)

    • Hekima ya wanadamu ni duni (12-18)

      • Kukimbiza upepo (14)

  • 2

    • Maelezo kuhusu mambo aliyotimiza Sulemani (1-11)

    • Hekima ya wanadamu haina faida kubwa (12-16)

    • Ubatili wa kazi ya jasho (17-23)

    • Ule, unywe, na kufurahia kazi (24-26)

  • 3

    • Kila jambo lina wakati wake (1-8)

    • Kufurahia maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu (9-15)

      • Umilele umo ndani ya mioyo ya wanadamu (11)

    • Mungu huwahukumu wote kwa haki (16, 17)

    • Wanadamu na wanyama wote hufa (18-22)

      • Wote watarudi mavumbini (20)

  • 4

    • Ukandamizaji ni mbaya kuliko kifo (1-3)

    • Maoni yanayofaa kuhusu kazi (4-6)

    • Faida ya rafiki (7-12)

      • Wawili ni bora (9)

    • Maisha ya mtawala yanaweza kuwa ya ubatili (13-16)

  • 5

    • Mkaribie Mungu kwa woga unaofaa (1-7)

    • Walio chini hutazamwa na walio juu zaidi (8, 9)

    • Ubatili wa utajiri (10-20)

      • Wanaopenda pesa hawatosheki kamwe (10)

      • Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu (12)

  • 6

    • Mali bila furaha (1-6)

    • Furahia ulicho nacho (7-12)

  • 7

    • Jina zuri na siku ya kufa (1-4)

    • Kemeo la mtu mwenye hekima (5-7)

    • Mwisho ni bora kuliko mwanzo (8-10)

    • Faida ya hekima (11, 12)

    • Siku njema na siku mbaya (13-15)

    • Usipite kiasi (16-22)

    • Aliyoyaona mkutanishaji (23-29)

  • 8

    • Mwanadamu asiye mkamilifu anapotawala (1-17)

      • Tii amri za mfalme (2-4)

      • Madhara ya utawala wa mwanadamu (9)

      • Hukumu isipotekelezwa upesi (11)

      • Ule, unywe, na kufurahia (15)

  • 9

    • Wote hupatwa na jambo lilelile (1-3)

    • Furahia maisha licha ya kwamba utakufa (4-12)

      • Waliokufa hawajui jambo lolote (5)

      • Hakuna kazi yoyote Kaburini (10)

      • Wakati na matukio yasiyotarajiwa (11)

    • Hekima haithaminiwi sikuzote (13-18)

  • 10

    • Upumbavu kidogo huharibu hekima (1)

    • Hatari za upumbavu (2-11)

    • Madhara ya kuwa mjinga (12-15)

    • Upumbavu miongoni mwa watawala (16-20)

      • Huenda ndege akarudia maneno uliyosema (20)

  • 11

    • Tumia fursa unayopata (1-8)

      • Tupa mkate wako juu ya maji (1)

      • Panda mbegu kuanzia asubuhi mpaka jioni (6)

    • Furahia ujana wako kwa njia inayofaa (9, 10)

  • 12

    • Mkumbuke Muumba kabla hujazeeka (1-8)

    • Hitimisho la maneno ya mkutanishaji (9-14)

      • Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe (11)

      • Mwogope Mungu wa kweli (13)