Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Amosi

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Amosi apokea ujumbe kutoka kwa Yehova (1, 2)

    • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (3-15)

  • 2

    • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (1-16)

  • 3

    • Kutangaza hukumu ya Yehova (1-8)

      • Mungu afunua siri yake (7)

    • Ujumbe dhidi ya Samaria (9-15)

  • 4

    • Ujumbe dhidi ya ng’ombe wa Bashani (1-3)

    • Yehova adhihaki ibada ya uwongo ya Waisraeli (4, 5)

    • Waisraeli wakataa nidhamu (6-13)

      • “Jitayarishe kukutana na Mungu wako” (12)

      • ‘Mungu humwambia mwanadamu mawazo Yake’ (13)

  • 5

    • Waisraeli ni kama bikira aliyeanguka (1-3)

    • Mtafuteni Yehova, mwendelee kuishi (4-17)

      • Chukieni maovu, pendeni mema (15)

    • Siku ya Yehova itakuwa siku ya giza (18-27)

      • Dhabihu za Waisraeli zakataliwa (22)

  • 6

    • Ole wao wasiojali! (1-14)

      • Vitanda vya pembe za tembo; mabakuli ya divai (4, 6)

  • 7

    • Maono yanayoonyesha mwisho wa Israeli unakaribia (1-9)

    • Amosi aambiwa aache kutabiri (10-17)

  • 8

    • Maono ya kikapu kilichojaa matunda ya wakati wa kiangazi (1-3)

    • Wakandamizaji washutumiwa (4-14)

      • Njaa ya kiroho (11)

  • 9

    • Hukumu za Mungu haziepukiki (1-10)

    • Kibanda cha Daudi kitainuliwa (11-15)