Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Habari Njema Kulingana na Mathayo

Sura

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Ukoo wa Yesu Kristo (1-17)

    • Yesu azaliwa (18-25)

  • 2

    • Wanajimu wamtembelea Yesu (1-12)

    • Kukimbilia Misri (13-15)

    • Herode awaua wavulana wadogo (16-18)

    • Kurudi Nazareti (19-23)

  • 3

    • Yohana Mbatizaji ahubiri (1-12)

    • Yesu abatizwa (13-17)

  • 4

    • Ibilisi amjaribu Yesu (1-11)

    • Yesu aanza kuhubiri Galilaya (12-17)

    • Wanafunzi wa kwanza wachaguliwa (18-22)

    • Yesu ahubiri, afundisha, na kuponya (23-25)

  • 5

    • MAHUBIRI YA MLIMANI (1-48)

      • Yesu aanza kufundisha mlimani (1, 2)

      • Mambo tisa yanayoleta furaha (3-12)

      • Chumvi na nuru (13-16)

      • Yesu alikuja kutimiza Sheria (17-20)

      • Mashauri kuhusu hasira (21-26), uzinzi (27-30), talaka (31, 32), viapo (33-37), kulipiza kisasi (38-42), kupenda adui (43-48)

  • 6

    • MAHUBIRI YA MLIMANI (1-34)

      • Msijionyeshe kuwa waadilifu (1-4)

      • Jinsi ya kusali (5-15)

        • Sala ya mfano (9-13)

      • Kufunga (16-18)

      • Hazina duniani na mbinguni (19-24)

      • Acheni kuhangaika (25-34)

        • Endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme (33)

  • 7

    • MAHUBIRI YA MLIMANI  (1-27)

      • Acheni kuhukumu (1-6)

      • Endeleeni kuomba, kutafuta, kupiga hodi (7-11)

      • Kanuni Bora (12)

      • Lango jembamba (13, 14)

      • Watajulikana kwa matunda yao (15-23)

      • Nyumba iliyo juu ya mwamba, nyumba iliyo juu ya mchanga (24-27)

    • Umati washangazwa na njia ya Yesu ya kufundisha (28, 29)

  • 8

    • Mtu mwenye ukoma aponywa (1-4)

    • Ofisa wa jeshi mwenye imani (5-13)

    • Yesu aponya wengi Kapernaumu (14-17)

    • Jinsi ya kumfuata Yesu (18-22)

    • Yesu atuliza dhoruba (23-27)

    • Yesu awaruhusu roho waovu waingie katika nguruwe (28-34)

  • 9

    • Yesu amponya mtu aliyepooza (1-8)

    • Yesu amwita Mathayo (9-13)

    • Swali kuhusu kufunga (14-17)

    • Binti ya Yairo; mwanamke agusa vazi la nje la Yesu (18-26)

    • Yesu aponya vipofu na mabubu (27-34)

    • Mavuno ni mengi lakini wafanyakazi ni wachache (35-38)

  • 10

    • Mitume 12 (1-4)

    • Maagizo kwa ajili ya huduma (5-15)

    • Wanafunzi watateswa (16-25)

    • Mwogope Mungu, si wanadamu (26-31)

    • Sikuleta amani, bali upanga (32-39)

    • Kuwakaribisha wanafunzi wa Yesu (40-42)

  • 11

    • Yohana Mbatizaji asifiwa (1-15)

    • Kizazi kisicho na imani chashutumiwa (16-24)

    • Yesu amsifu Baba yake kwa kuwafunulia mambo wanyenyekevu (25-27)

    • Nira ya Yesu inaburudisha (28-30)

  • 12

    • Yesu ndiye “Bwana wa Sabato” (1-8)

    • Mtu mwenye mkono uliopooza aponywa (9-14)

    • Mtumishi mpendwa wa Mungu (15-21)

    • Atumia roho takatifu kuwafukuza roho waovu (22-30)

    • Dhambi isiyosamehewa (31, 32)

    • Mti hujulikana kwa matunda yake (33-37)

    • Ishara ya Yona (38-42)

    • Roho mwovu anaporudi (43-45)

    • Mama na ndugu za Yesu (46-50)

  • 13

    • MIFANO KUHUSU UFALME (1-52)

      • Mpandaji (1-9)

      • Kwa nini Yesu alitumia mifano? (10-17)

      • Mfano wa mpandaji wafafanuliwa (18-23)

      • Ngano na magugu (24-30)

      • Mbegu ya haradali na chachu (31-33)

      • Yesu atumia mifano, atimiza unabii (34, 35)

      • Mfano wa ngano na magugu wafafanuliwa (36-43)

      • Hazina iliyofichwa na lulu nzuri (44-46)

      • Wavu wa kukokota (47-50)

      • Hazina mpya na za zamani (51, 52)

    • Yesu akataliwa katika eneo la nyumbani kwao (53-58)

  • 14

    • Yohana Mbatizaji akatwa kichwa (1-12)

    • Yesu alisha wanaume 5,000 (13-21)

    • Yesu atembea juu ya maji (22-33)

    • Yesu awaponya watu huko Genesareti (34-36)

  • 15

    • Yesu afunua mapokeo ya wanadamu (1-9)

    • Mtu huchafuliwa na kinachotoka moyoni (10-20)

    • Imani kubwa ya mwanamke Mfoinike (21-28)

    • Yesu aponya magonjwa mengi (29-31)

    • Yesu alisha wanaume 4,000 (32-39)

  • 16

    • Waomba ishara (1-4)

    • Chachu ya Mafarisayo na Masadukayo (5-12)

    • Funguo za Ufalme (13-20)

      • Kutaniko lajengwa juu ya mwamba (18)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa (21-23)

    • Wanafunzi wa kweli (24-28)

  • 17

    • Yesu ageuka sura (1-13)

    • Imani kama mbegu ya haradali (14-21)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (22, 23)

    • Walipa kodi kwa sarafu iliyotolewa kinywani mwa samaki (24-27)

  • 18

    • Aliye mkuu zaidi katika Ufalme (1-6)

    • Vikwazo (7-11)

    • Mfano wa kondoo aliyepotea (12-14)

    • Jinsi ya kumpata ndugu yako (15-20)

    • Mfano wa mtumwa aliyekosa kusamehe (21-35)

  • 19

    • Ndoa na talaka (1-9)

    • Zawadi ya useja (10-12)

    • Yesu awabariki watoto (13-15)

    • Swali la mwanamume kijana tajiri (16-24)

    • Kujidhabihu kwa ajili ya Ufalme (25-30)

  • 20

    • Wafanyakazi katika shamba la mizabibu wapokea mshahara unaolingana (1-16)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (17-19)

    • Ombi la kupewa vyeo katika Ufalme (20-28)

      • Yesu atoa fidia kwa ajili ya wengi (28)

    • Wanaume wawili vipofu waponywa (29-34)

  • 21

    • Yesu aingia kwa kishindo (1-11)

    • Yesu asafisha hekalu (12-17)

    • Mtini walaaniwa (18-22)

    • Wataka kujua chanzo cha mamlaka ya Yesu (23-27)

    • Mfano wa wana wawili (28-32)

    • Mfano wa wakulima wauaji (33-46)

      • Jiwe kuu la pembeni lakataliwa (42)

  • 22

    • Mfano wa karamu ya ndoa (1-14)

    • Mungu na Kaisari (15-22)

    • Swali kuhusu ufufuo (23-33)

    • Amri mbili zilizo kuu zaidi (34-40)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (41-46)

  • 23

    • Msiwaige waandishi na Mafarisayo (1-12)

    • Ole kwa waandishi na Mafarisayo (13-36)

    • Yesu aombolezea Yerusalemu (37-39)

  • 24

    • ISHARA YA KUWAPO KWA KRISTO (1-51)

      • Vita, njaa, matetemeko ya ardhi (7)

      • Habari njema itahubiriwa (14)

      • Dhiki kuu (21, 22)

      • Ishara ya Mwana wa binadamu (30)

      • Mtini (32-34)

      • Kama siku za Noa (37-39)

      • Endeleeni kukesha (42-44)

      • Mtumwa mwaminifu na mtumwa mwovu (45-51)

  • 25

    • ISHARA YA KUWAPO KWA KRISTO (1-46)

      • Mfano wa mabikira kumi (1-13)

      • Mfano wa talanta (14-30)

      • Kondoo na mbuzi (31-46)

  • 26

    • Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1-5)

    • Yesu amiminiwa mafuta yenye manukato (6-13)

    • Pasaka ya mwisho na kusalitiwa (14-25)

    • Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (26-30)

    • Yesu atabiri kwamba Petro atamkana (31-35)

    • Yesu asali huko Gethsemane (36-46)

    • Yesu akamatwa (47-56)

    • Kesi mbele ya Sanhedrini (57-68)

    • Petro amkana Yesu (69-75)

  • 27

    • Yesu akabidhiwa kwa Pilato (1, 2)

    • Yuda ajinyonga (3-10)

    • Yesu mbele ya Pilato (11-26)

    • Adhihakiwa hadharani (27-31)

    • Atundikwa kwenye mti huko Golgotha (32-44)

    • Yesu afa (45-56)

    • Yesu azikwa (57-61)

    • Kaburi lawekewa ulinzi mkali (62-66)

  • 28

    • Yesu afufuliwa (1-10)

    • Askari wapewa rushwa ili waseme uwongo (11-15)

    • Agizo la kufanya watu kuwa wanafunzi (16-20)