Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Habari Njema Kulingana na Marko

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Yohana Mbatizaji ahubiri (1-8)

    • Yesu abatizwa (9-11)

    • Shetani amjaribu Yesu (12, 13)

    • Yesu aanza kuhubiri huko Galilaya (14, 15)

    • Wanafunzi wa kwanza wachaguliwa (16-20)

    • Roho mwovu afukuzwa (21-28)

    • Yesu awaponya watu wengi huko Kapernaumu (29-34)

    • Yesu asali faraghani (35-39)

    • Mtu mwenye ukoma aponywa (40-45)

  • 2

    • Yesu amponya mtu aliyepooza (1-12)

    • Yesu amwita Lawi (13-17)

    • Swali kuhusu kufunga (18-22)

    • Yesu, ‘Bwana wa Sabato’ (23-28)

  • 3

    • Mwanamume mwenye mkono uliopooza aponywa (1-6)

    • Umati mkubwa kando ya bahari (7-12)

    • Mitume 12 (13-19)

    • Kukufuru roho takatifu (20-30)

    • Mama na ndugu za Yesu (31-35)

  • 4

    • MIFANO KUHUSU UFALME (1-34)

      • Mpandaji (1-9)

      • Kwa nini Yesu alitumia mifano? (10-12)

      • Mfano wa mpandaji wafafanuliwa (13-20)

      • Taa haiwekwi chini ya kikapu (21-23)

      • Kipimo unachopima (24, 25)

      • Mpandaji anayelala (26-29)

      • Mbegu ya haradali (30-32)

      • Kutumia mifano (33, 34)

    • Yesu atuliza dhoruba (35-41)

  • 5

    • Yesu awaruhusu roho waovu waingie ndani ya nguruwe (1-20)

    • Binti ya Yairo; mwanamke agusa vazi la nje la Yesu (21-43)

  • 6

    • Yesu akataliwa katika mji wa nyumbani kwao (1-6)

    • Wale 12 wapewa maagizo kuhusu huduma (7-13)

    • Kifo cha Yohana Mbatizaji (14-29)

    • Yesu alisha wanaume 5,000 (30-44)

    • Yesu atembea juu ya maji (45-52)

    • Yesu awaponya watu huko Genesareti (53-56)

  • 7

    • Yesu afunua mapokeo ya wanadamu (1-13)

    • Mtu huchafuliwa na kile kinachotoka moyoni (14-23)

    • Imani ya mwanamke wa Sirofoinike (24-30)

    • Mwanamume aliyekuwa kiziwi aponywa (31-37)

  • 8

    • Yesu alisha wanaume 4,000 (1-9)

    • Waomba ishara (10-13)

    • Chachu ya Mafarisayo na ya Herode (14-21)

    • Mwanamume kipofu aponywa huko Bethsaida (22-26)

    • Petro amtambulisha Kristo (27-30)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa (31-33)

    • Wanafunzi wa kweli (34-38)

  • 9

    • Yesu ageuka sura (1-13)

    • Mvulana aliyekuwa na roho mwovu aponywa (14-29)

      • Mambo yote yanawezekana kwa mtu mwenye imani (23)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (30-32)

    • Wanafunzi wabishana kuhusu aliye mkuu zaidi (33-37)

    • Mtu asiyetupinga yuko upande wetu (38-41)

    • Vikwazo (42-48)

    • “Iweni na chumvi ndani yenu” (49, 50)

  • 10

    • Ndoa na talaka (1-12)

    • Yesu awabariki watoto (13-16)

    • Swali la mwanamume tajiri (17-25)

    • Kujidhabihu kwa ajili ya Ufalme (26-31)

    • Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (32-34)

    • Ombi la Yakobo na Yohana (35-45)

      • Yesu fidia kwa ajili ya wengi (45)

    • Bartimayo aliyekuwa kipofu aponywa (46-52)

  • 11

    • Yesu aingia kwa kishindo (1-11)

    • Mtini walaaniwa (12-14)

    • Yesu asafisha hekalu (15-18)

    • Somo kutoka kwa mtini ulionyauka (19-26)

    • Wataka kujua chanzo cha mamlaka ya Yesu (27-33)

  • 12

    • Mfano wa wakulima wauaji (1-12)

    • Mungu na Kaisari (13-17)

    • Swali kuhusu ufufuo (18-27)

    • Amri mbili kuu zaidi (28-34)

    • Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (35-37a)

    • Waonywa wajihadhari na waandishi (37b-40)

    • Sarafu mbili za mjane maskini (41-44)

  • 13

    • UMALIZIO WA MFUMO WA MAMBO (1-37)

      • Vita, matetemeko ya ardhi, njaa (8)

      • Habari njema itahubiriwa (10)

      • Dhiki kuu (19)

      • Kuja kwa Mwana wa binadamu (26)

      • Mfano wa mtini (28-31)

      • Endeleeni kukesha (32-37)

  • 14

    • Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1, 2)

    • Yesu amiminiwa mafuta yenye marashi (3-9)

    • Yuda amsaliti Yesu (10, 11)

    • Pasaka ya mwisho (12-21)

    • Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (22-26)

    • Yesu atabiri kwamba Petro atamkana (27-31)

    • Yesu asali akiwa Gethsemane (32-42)

    • Yesu akamatwa (43-52)

    • Kesi mbele ya Sanhedrini (53-65)

    • Petro amkana Yesu (66-72)

  • 15

    • Yesu mbele ya Pilato (1-15)

    • Adhihakiwa hadharani (16-20)

    • Atundikwa kwenye mti huko Golgotha (21-32)

    • Yesu afa (33-41)

    • Yesu azikwa (42-47)

  • 16

    • Yesu afufuliwa (1-8)