Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua ya Kwanza kwa Wakorintho

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1-3)

    • Paulo amshukuru Mungu kwa sababu ya Wakorintho (4-9)

    • Wahimizwa kuwa na umoja (10-17)

    • Kristo, nguvu na hekima ya Mungu (18-25)

    • Kujisifu tu katika Yehova (26-31)

  • 2

    • Paulo ahubiri huko Korintho (1-5)

    • Ubora wa hekima ya Mungu (6-10)

    • Tofauti kati ya mtu wa kiroho na mtu wa kimwili (11-16)

  • 3

    • Bado Wakorintho ni wa kimwili (1-4)

    • Mungu hufanya ikue (5-9)

      • Wafanyakazi wenzi wa Mungu (9)

    • Jengeni kwa vifaa visivyoshika moto (10-15)

    • Ninyi ni hekalu la Mungu (16, 17)

    • Hekima ya ulimwengu ni upumbavu kwa Mungu (18-23)

  • 4

    • Wasimamizi wanapaswa kuwa waaminifu (1-5)

    • Unyenyekevu wa wahudumu Wakristo (6-13)

      • “Msipite mambo yaliyoandikwa” (6)

      • Wakristo ni tamasha (9)

    • Paulo awajali watoto wake wa kiroho (14-21)

  • 5

    • Kisa cha uasherati (1-5)

    • Chachu kidogo huchachisha donge lote (6-8)

    • Mtu mwovu aondolewe (9-13)

  • 6

    • Kesi miongoni mwa akina ndugu Wakristo (1-8)

    • Wale ambao hawataurithi Ufalme (9-11)

    • Mtukuzeni Mungu katika miili yenu (12-20)

      • “Ukimbieni uasherati!” (18)

  • 7

    • Ushauri kwa waseja na waliofunga ndoa (1-16)

    • Baki katika hali uliyokuwa nayo ulipoitwa (17-24)

    • Waseja na wajane (25-40)

      • Faida za kuwa mseja (32-35)

      • Funga ndoa “katika Bwana tu” (39)

  • 8

    • Kuhusu chakula kinachotolewa kwa sanamu (1-13)

      • Kwetu kuna Mungu mmoja tu (5, 6)

  • 9

    • Mfano wa Paulo akiwa mtume (1-27)

      • “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume” (9)

      • ‘Ole wangu nisipohubiri!’ (16)

      • Kuwa vitu vyote kwa watu wote (19-23)

      • Kujidhibiti katika mbio za uzima (24-27)

  • 10

    • Vielelezo vya kuonya kutokana na historia ya Israeli (1-13)

    • Onyo dhidi ya ibada ya sanamu (14-22)

      • Meza ya Yehova, meza ya roho waovu (21)

    • Uhuru na kuwafikiria wengine (23-33)

      • “Fanyeni mambo yote kwa utukufu wa Mungu” (31)

  • 11

    • “Iweni waigaji wangu” (1)

    • Ukichwa na kufunika kichwa (2-16)

    • Kuadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana (17-34)

  • 12

    • Zawadi za roho (1-11)

    • Mwili mmoja, viungo vingi (12-31)

  • 13

    • Upendo​—⁠njia bora zaidi (1-13)

  • 14

    • Zawadi za unabii na lugha (1-25)

    • Mikutano ya Kikristo yenye utaratibu (26-40)

      • Sehemu ya wanawake katika kutaniko (34, 35)

  • 15

    • Ufufuo wa Kristo (1-11)

    • Ufufuo, msingi wa imani (12-19)

    • Ufufuo wa Kristo unatoa uhakikisho (20-34)

    • Mwili wa nyama, mwili wa kiroho (35-49)

    • Kutoweza kufa na kutoweza kuharibika (50-57)

    • Kuwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana (58)

  • 16

    • Mchango kwa ajili ya Wakristo huko Yerusalemu (1-4)

    • Mipango ya safari za Paulo (5-9)

    • Mipango ya ziara za Timotheo na Apolo (10-12)

    • Himizo na salamu (13-24)