Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua ya Pili kwa Wakorintho

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Faraja kutoka kwa Mungu katika dhiki zote (3-11)

    • Mabadiliko katika mipango ya safari za Paulo (12-24)

  • 2

    • Paulo akusudia kuleta shangwe (1-4)

    • Mtenda dhambi asamehewa na kurudishwa (5-11)

    • Paulo huko Troa na Makedonia (12, 13)

    • Huduma, maandamano ya ushindi (14-17)

      • Si wachuuzi wa neno la Mungu (17)

  • 3

    • Barua za mapendekezo (1-3)

    • Wahudumu wa agano jipya (4-6)

    • Utukufu ulio bora wa agano jipya (7-18)

  • 4

    • Nuru ya habari njema (1-6)

      • Akili za wasioamini zimepofushwa (4)

    • Hazina katika vyombo vya udongo (7-18)

  • 5

    • Kuvaa makao ya kimbingu (1-10)

    • Huduma ya upatanisho (11-21)

      • Kiumbe kipya (17)

      • Mabalozi wa Kristo (20)

  • 6

    • Fadhili za Mungu hazipaswi kutumiwa vibaya (1, 2)

    • Huduma ya Paulo yafafanuliwa (3-13)

    • Msifungwe nira isivyo sawa (14-18)

  • 7

    • Tujisafishe unajisi (1)

    • Shangwe ya Paulo kuhusu Wakorintho (2-4)

    • Tito aleta habari nzuri (5-7)

    • Huzuni ya kimungu na toba (8-16)

  • 8

    • Mchango kwa ajili ya Wakristo wa Yudea (1-15)

    • Tito kutumwa Korintho (16-24)

  • 9

    • Wachochewa kutoa (1-15)

      • Mungu humpenda mtoaji mchangamfu (7)

  • 10

    • Paulo aitetea huduma yake (1-18)

      • Silaha zetu si za kimwili (4, 5)

  • 11

    • Paulo na mitume walio bora sana (1-15)

    • Hali ngumu alizokabili Paulo akiwa mtume (16-33)

  • 12

    • Maono ya Paulo (1-7a)

    • “Mwiba katika mwili” wa Paulo (7b-10)

    • Hajapungukiwa kuliko mitume walio bora sana (11-13)

    • Paulo awahangaikia Wakorintho (14-21)

  • 13

    • Maonyo ya mwisho na himizo (1-14)

      • “Endeleeni kujijaribu kama mko katika imani” (5)

      • Mrekebishwe upya; mfikiri kwa upatano (11)