Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua kwa Waefeso

Sura

1 2 3 4 5 6

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Baraka za kiroho (3-7)

    • Kuvikusanya vitu vyote katika Kristo (8-14)

      • “Usimamizi” katika nyakati zilizowekwa (10)

      • Kutiwa muhuri kwa roho kama “rehani ya mapema” (13, 14)

    • Paulo amshukuru Mungu kwa sababu ya imani ya Waefeso na kusali kwa ajili yao (15-23)

  • 2

    • Wafanywa kuwa hai pamoja na Kristo (1-10)

    • Ukuta unaotenganisha waharibiwa (11-22)

  • 3

    • Siri takatifu ingetia ndani Watu wa Mataifa (1-13)

      • Watu wa Mataifa ni warithi wenzi pamoja na Kristo (6)

      • Kusudi la Mungu la milele (11)

    • Sala kwa ajili ya Waefeso ili wapate hekima (14-21)

  • 4

    • Umoja katika mwili wa Kristo (1-16)

      • Zawadi katika wanadamu (8)

    • Utu wa zamani na utu mpya (17-32)

  • 5

    • Usemi na mwenendo safi (1-5)

    • Tembeeni kama watoto wa nuru (6-14)

    • Mjazwe roho (15-20)

      • Tumieni vizuri kabisa wakati wenu (16)

    • Ushauri kwa waume na wake (21-33)

  • 6

    • Ushauri kwa watoto na wazazi (1-4)

    • Ushauri kwa watumwa na mabwana (5-9)

    • Mavazi kamili ya silaha kutoka kwa Mungu (10-20)

    • Salamu za mwisho (21-24)