Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua kwa Wafilipi

Sura

1 2 3 4

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Shukrani kwa Mungu; Sala ya Paulo (3-11)

    • Habari njema yasonga mbele licha ya matatizo (12-20)

    • Kuishi ni Kristo, kifo ni faida (21-26)

    • Jiendesheni kwa njia inayostahili habari njema (27-30)

  • 2

    • Unyenyekevu wa Kikristo (1-4)

    • Unyenyekevu wa Kristo na kupandishwa cheo (5-11)

    • Fanyieni kazi wokovu wenu wenyewe (12-18)

      • Kuangaza kama mianga (15)

    • Kumtuma Timotheo na Epafrodito (19-30)

  • 3

    • Uhakika usitegemee mwili (1-11)

      • Mambo yote ni hasara kwa ajili ya Kristo (7-9)

    • Kujinyoosha mbele kuelekea mradi (12-21)

      • Uraia mbinguni (20)

  • 4

    • Umoja, kushangilia, mawazo yanayofaa (1-9)

      • Msihangaike kuhusu jambo lolote (6, 7)

    • Paulo awashukuru Wafilipi kwa zawadi (10-20)

    • Salamu za mwisho (21-23)