Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua ya Kwanza ya Petro

Sura

1 2 3 4 5

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Kuzaliwa upya kwenye tumaini lililo hai (3-12)

    • Iweni watakatifu kama watoto watiifu (13-25)

  • 2

    • Kuzeni hamu kwa ajili ya neno (1-3)

    • Mawe yaliyo hai yaliyojengwa kuwa nyumba ya kiroho (4-10)

    • Kuishi kama wageni katika ulimwengu (11, 12)

    • Ujitiisho unaofaa (13-25)

      • Kristo, kielelezo chetu (21)

  • 3

    • Wake na waume (1-7)

    • Iweni na hisia-mwenzi; tafuteni amani (8-12)

    • Kuteseka kwa ajili ya uadilifu (13-22)

      • Muwe tayari kutetea tumaini lenu (15)

      • Ubatizo na dhamiri njema (21)

  • 4

    • Kuishi kwa ajili ya mapenzi ya Mungu, kama alivyofanya Kristo (1-6)

    • Mwisho wa mambo yote umekaribia (7-11)

    • Kuteseka kwa kuwa Mkristo (12-19)

  • 5

    • Lichungeni kundi la Mungu (1-4)

    • Muwe wanyenyekevu na mkeshe (5-11)

      • Mtupieni Mungu mahangaiko yenu yote (7)

      • Ibilisi ni kama simba anayenguruma (8)

    • Maneno ya kumalizia (12-14)