Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Unipatie Uhodari

Unipatie Uhodari

(2 Wafalme 6:16)

Pakua:

  1. 1. Niko na mashaka​—

    Mbele kuko giza.

    Unanionyesha njia;

    Yah hauko mbali.

    Magumu ni mengi,

    Lakini najua:

    Uko mushikamanifu;

    Hautaniacha.

    (KORASI)

    Yehova nipe macho ya

    Imani nione

    Upande wetu kuko wengi.

    Nipe uhodari.

    Nipe uhodari;

    Na uvumilivu.

    Yah nipe uhodari;

    Ushindi ni wako.

  2. 2. Niko na woga na

    Sina nguvu nyingi.

    Uko kimbilio langu;

    Mwenye nguvu nyingi.

    Nipe uhodari,

    Nisikuwe mwoga.

    Hata nifungwe na kufa​—

    Haiko milele.

    (KORASI)

    Yehova nipe macho ya

    Imani nione

    Upande wetu kuko wengi.

    Nipe uhodari.

    Nipe uhodari;

    Na uvumilivu.

    Yah nipe uhodari;

    Ushindi ni wako.

    (KORASI)

    Yehova nipe macho ya

    Imani nione

    Upande wetu kuko wengi.

    Nipe uhodari.

    Nipe uhodari;

    Na uvumilivu.

    Yah nipe uhodari;

    Ushindi ni wako.

    Yah nipe uhodari;

    Ushindi ni wako.