Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uwe Jasiri na Imara

Uwe Jasiri na Imara

Pakua:

  1. 1. Aamka alfajiri.

    Asali kuhusu watoto wake,

    Na ndugu zake:

    “Baba tusaidie.”

    Katika hali ngumu,

    Hakati tamaa kamwe.

    Pia wimbo huu mzuri,

    ​—anaukumbuka:

    (KORASI)

    ‘N’takupa nguvu.

    Usiogope.

    Niko na wewe.’

    Nitegemee.

    Uwe jasiri na uwe imara.

    ‘Nakuimarisha

    Na kukupa nguvu.’

    (DARAJA)

    Ndipo anaenda​—

    Kuhangaika​—

    Apate tu chochote.

    Na marafiki zake

    Wako tayari,

    Kumsaidia.

  2. 2. Kwa uwezo wake wote

    Anajitahidi kuyatimiza,

    Majukumu yake​—

    Huku akitoa sala​—

    Hata anapochoka.

    Anafanya awezayo​—

    Na wimbo anaoupenda,

    Unampa nguvu:

    (KORASI)

    ‘N’takupa nguvu.

    Usiogope.

    Niko na wewe.’

    Nitegemee.

    Uwe jasiri na uwe imara.

    ‘Nakuimarisha

    Na kukupa nguvu.’

    ‘Nakuimarisha

    Na kukupa nguvu.’

    ‘Nakuimarisha.’