Tusimuache
Uchukue:
1. Nilifurahi kujifunza
Juu ya Yehova na dunia mupya;
Na kisha nikajitoa kwake;
Ninapenda kufanya kazi yake.
(MBELE YA REFREE)
Sitamuacha,
Nitamufurahisha.
(REFREE)
Hata kama Shetani na dunia
Wanapenda nimuache,
Kupitia sala na Biblia,
Nitasimama imara.
Niko najikaza nisimuache.
2. Maisha yetu tutajenga
Ku majiwe ao ku muchanga?
Tusifuate watu wabaya;
Hivi karibuni watapotea.
(MBELE YA REFREE)
Tunaamini
Ufalme wa Mungu.
(REFREE)
Hata kama Shetani na dunia
Wanapenda tupotee;
Kupitia sala na Biblia,
Tutasimama imara.
Tuko najikaza tusimuache.
(REFREE)
Hata kama Shetani na dunia
Wanapenda tumuache,
Kupitia sala na Biblia,
Tutasimama imara.
Tuko najikaza tusimuache.
Tusimuache.
Tusimuache.