Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Furaha Yetu ya Milele Inatoka kwa Yehova

Furaha Yetu ya Milele Inatoka kwa Yehova

(Zaburi 16:11)

Chukua ku Enternete:

  1. 1. Nyota zenye tunaona

    Ni za ajabu.

    Kwa upendo uliumba

    Jua na mwezi.

    Na ulifurahia kila kitu

    Chenye uliumba

    Ku dunia.

    (KORASI)

    Tunafurahia sana,

    Paradiso yenye kuja,

    Na uumbaji wako.

    Unatupendaka sana.

    Ni pendeleo kabisa!

    Na utatuletea

    Furaha milele.

  2. 2. Na tuko na kila kitu

    Ili kuishi.

    Mambo tunajifunzaka

    Inashangaza.

    Na unapenda tukuwe

    Na furaha kila siku,

    Bila huzuni.

    (KORASI)

    Tunafurahia sana,

    Paradiso yenye kuja,

    Na uumbaji wako

    Unatupendaka sana.

    Ni pendeleo kabisa!

    Na utatuletea

    Furaha milele.

    (KILALO)

    Ni kifo cha Yesu

    Njo kinatuwezesha

    Tufurahie maisha,

    Milele mu paradiso.

    (KORASI)

    Tunafurahia sana,

    Paradiso yenye kuja,

    Na uumbaji wako.

    Unatupendaka sana.

    Ni pendeleo kabisa!

    Na utatuletea

    Furaha milele

    (KORASI)

    Tunafurahia sana,

    Paradiso yenye kuja,

    Na uumbaji wako.

    Unatupendaka sana.

    Ni pendeleo kabisa!

    Na utatuletea

    Furaha milele.