Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Umupatie Yehova Nguvu Yako

Umupatie Yehova Nguvu Yako

Chukua ku Enternete:

  1. 1. Wakati ulikuwa mutoto,

    Ulifanya mambo mingi​—

    Ulijibu na ulihubiri;

    Na pia kusali sana.

    (MBELE YA REFREE)

    Lakini wakati ulianza kukomala,

    Haiko kila mutu aliitika mahubiri.

    Lakini kadiri uko tu unakomala,

    Usimuache Yehova.

    Atakubariki.

    (REFREE)

    Uko wa maana sana kwa Mungu;

    Anakupenda.

    Na uko na mingi ya kumupatia.

    Uko na imani;

    Hatakuacha.

  2. 2. Umekomala, na unapambana

    Na magumu ya dunia;

    Inakuogopesha sana.

    Usali, sali kwa Mungu.

    (MBELE YA REFREE)

    Tumikisha mambo yenye uko najifunza,

    Na upate furaha ya kujitoa.

    Na ukuwe na hekima, utumike sana.

    Usimuache Yehova;

    Atakubariki.

    (REFREE)

    Uko wa maana sana kwa Mungu;

    Anakupenda.

    Na uko na mingi ya kumupatia.

    Uko na imani;

    Hatakuacha.

    (KILALO)

    Upatie Yah nguvu yako.

    Utafurahi; wengi wamefurahi.

    (REFREE)

    Uko wa maana sana kwa Mungu;

    Anakupenda.

    Na uko na mingi ya kumupatia.

    Uko na imani;

    Hatakuacha.

    (KILALO)

    Upatie Yah nguvu yako.

    Utafurahi; wengi wamefurahi.

    Upatie Yah nguvu yako.

    Utafurahi; wengi wamefurahi.