Yehova Iko na Miye
Uchukue ku Enternete:
1. Saa nililamuka asubui
Nilijitayarisha na kusali.
Kisha nilienda mu mahubiri.
Mungu wangu njo ninatii.
(REFREE)
Moyo wangu unatulia; na sihangaike.
Yehova iko na miye, siogope.
Yehova iko na miye, siogope.
2. Na namukumbuka ule rafiki;
Alinisikiliza muzuri.
Nasali juu tuonane tena;
Kweli imuletee tu furaha.
(REFREE)
Moyo wangu unatulia; na sihangaike.
Yehova iko na miye, siogope.
Yehova iko na miye, siogope.
(KILALO)
Sitafunga kinywa; nitasema.
Maneno yake, nitasema.
Nitatangaza jina yake
Fasi yoyote na kwa watu wote.
Ntatia nguvu imani yangu;
Mu hii vita siko miye tu.
Namutumainia Yehova.
Ataleta dunia mupya.
3. Usiku, mbele tu ya kulala
Namushukuru Yehova sana.
Miye, sijue mambo ya kesho.
Siogope juu Yehova iko.
(REFREE)
Moyo wangu unatulia; na sihangaike.
Yehova iko na miye, siogope.
Yehova iko na miye, siogope.