Yehova Anajuaka
Chukua ku Enternete:
1. Wakati ulikuwaka mu tumbo,
Mbele ujue kusema: “Jambo!”
Yehova alikuona.
Tayari alikujua.
Ile ni muujiza!
(REFREE)
Magumu, uchungu,
Kilio, mateso,
Na hata furaha yako,
Yehova anajuaka.
Bidii, imani,
Mawazo na moyo,
Yehova anajuaka ile mambo
Yote.
2. Anapenda uishi muzuri,
Na anakujua muzuri.
Anakuongoza muzuri.
Basi, chunga tu Paradiso.
Yehova ni upendo!
(REFREE)
Magumu, uchungu,
Kilio, mateso,
Na hata furaha yako,
Yehova anajuaka.
Bidii, imani,
Mawazo na moyo,
Yehova anajuaka ile mambo
Yote.
(KILALO)
Magumu ikifika, jua kama Mungu anakupenda, sali.
Usitetemeke, atakusaidia tu.
Umutegemee, utapata nguvu tu.
(REFREE)
Magumu, uchungu,
Kilio, mateso,
Na hata furaha yako,
Yehova anajuaka.
Bidii, imani,
Mawazo na moyo,
Yehova anajuaka ile mambo.
(REFREE)
Magumu, uchungu,
Kilio, mateso,
Na hata furaha yako,
Yehova anajuaka.
Bidii, imani,
Mawazo na moyo,
Yehova anajuaka ile mambo
Yote.