Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ELEZA MAANA YA MFANO

1. Katika mfano wa Yesu unaopatikana kwenye Mathayo 18:12-14, ni nini kilichompata kondoo mmoja?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

2. Mchungaji ni nani?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

3. Mchungaji alihisije alipopata alichokuwa akitafuta?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

Zungumzeni Pamoja: Yehova ni kama mchungaji kwa njia gani? Wewe ni kama kondoo kwa njia gani?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la mwandikaji aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

Baada ya 443 K.W.K. Kabla ya 62 W.K. Baada ya 70 W.K.

455 K.W.K. 64 W.K.

4. Malaki

5. Yakobo

6. 2 Petro

MIMI NI NANI?

7. Yakobo alisema kwamba nilitangazwa kuwa mwadilifu kwa sababu niliwakaribisha wajumbe.

MIMI NI NANI?

8. Nilikuwa binamu ya Barnaba, naye Petro aliniita mwana wake.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 8 Ayubu alisema nini kuhusu dunia? (Ayubu 26:____)

Ukurasa wa 11 Wakristo wa mapema waliyaonaje Maandiko Matakatifu? (1 Wathesalonike 2:____)

Ukurasa wa 12 Wafalme wa Israeli waliambiwa waandike nini? (Kumbukumbu 17:____)

Ukurasa wa 28 Biblia inakuhimiza ujihakikishie nini? (Waroma 12:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 27)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Alipotea.

2. Mtu anayeongoza na kulinda kundi la kondoo.

3. Alifurahi.

4. Malaki, baada ya 443 K.W.K.

5. Yakobo, kabla ya 62 W.K.

6. Petro, 64 W.K.

7. Rahabu.—Yakobo 2:25.

8. Marko.—Wakolosai 4:10; 1 Petro 5:13