Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

KITULIZO KWA WALE WENYE KUWA NA MUKAZO

Ni Mambo Gani Yenye Inaleta Mukazo?

Ni Mambo Gani Yenye Inaleta Mukazo?

Kituo kimoja chenye kujulikana sana chenye kuitwa Mayo Clinic kinasema hivi: “Watu wazima wengi wanasema kama wako na mukazo wenye kuendelea kuongezeka. Maisha katika ulimwengu wa leo, ni yenye kujaa mabadiliko na wasiwasi kuhusu wakati wenye kuja.” Mambo yenye kufuata ni kati ya mambo yenye kufanya watu wakuwe na mukazo:

  • ndoa kuvunjika

  • kifo cha mupendwa

  • ugonjwa mukali

  • aksidenti kali

  • uvunjaji wa sheria

  • kuwa na mambo mingi sana ya kufanya mu maisha

  • misiba ya asili ao yenye kuletwa na watu

  • mikazo kwenye masomo ao kwenye kazi

  • wasiwasi kuhusu kupata na kuchunga kazi yenye itakusaidia kupata feza za kutosha ili kuhangaikia familia