Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Sehemu ya 1

“Hodari kwa Nguvu”

“Hodari kwa Nguvu”

Katika sehemu hii tutachunguza masimulizi ya Biblia yanayothibitisha kwamba Yehova ana nguvu za kuumba, kuangamiza, kulinda, na kurudisha hali upya. Mioyo yetu itajaa kicho tukielewa jinsi ambavyo Yehova Mungu, ambaye ni “hodari kwa nguvu,” anatumia “uweza” wake.—Isaya 40:26.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 4

“Mwenyezi-Mungu . . . Amejaa Nguvu”

Je, tunapaswa kumwogopa Mungu kwa sababu ya nguvu zake? Kujibu ndiyo au la, ni sahihi.

SURA YA 5

Nguvu za Kuumba​—“Aliyezifanya Mbingu na Nchi”

Uumbaji wa Mungu, kuanzia jua letu kubwa hadi ndege mdogo sana anayeitwa hummingbird, unaweza kutufundisha jambo muhimu kumhusu Mungu.

SURA YA 6

Nguvu za Kuangamiza​—Yehova, “Ni Mtu wa Vita”

Ni jinsi gani “Mungu wa amani” hupingana vita?

SURA YA 7

Nguvu za Kulinda—“Mungu Ni Kimbilio Letu”

Mungu anawalinda watumishi wake katika njia mbili, lakini moja ndiyo muhimu zaidi.

SURA YA 8

Uwezo wa Kurudisha Hali Nzuri—Yehova ‘Anafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya’

Yehova tayari amerudisha ibada safi. Ni hali gani nzuri atakazorudisha wakati ujao?

SURA YA 9

“Kristo Ni Nguvu ya Mungu”

Miujiza na mafundisho ya Yesu Kristo yanatufundisha nini kumhusu Yehova?

SURA YA 10

“Iweni Waigaji wa Mungu” Mnapotumia Uwezo

Huenda una uwezo mwingi kuliko unavyodhani​—unaweza kuutumiaje kwa njia inayofaa?