Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Sehemu ya 3

“Mwenye Hekima Moyoni”

“Mwenye Hekima Moyoni”

Hekima ya kweli ni mojawapo ya mambo yenye thamani sana unayoweza kutafuta. Yehova peke yake ndiye chanzo cha hekima hiyo. Katika sehemu hii tutachunguza kindani hekima ya Yehova Mungu isiyo na mipaka. Mwanamume mwaminifu Ayubu alisema hivi kumhusu: “Yeye ni mwenye hekima moyoni.”—Ayubu 9:4.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 17

‘Lo! Kina cha Hekima ya Mungu!’

Kwa nini hekima ya Mungu ni kuu kuliko hata ujuzi, uelewaji na utambuzi wake?

SURA YA 18

Hekima ya “Neno la Mungu”

Kwa nini Mungu alitumia wanadamu kuandika Biblia badala ya kutumia malaika au kuiandika mwenyewe?

SURA YA 19

“Hekima ya Mungu Katika Siri Takatifu”

Ni siri gani takatifu ambayo wakati fulani Mungu aliificha lakini sasa ameifunua?

SURA YA 20

“Yeye Ni Mwenye Hekima Moyoni”—Lakini Mnyenyekevu

Inawezekanaje kwamba Bwana Mwenye Enzi Kuu ya ulimwengu mzima kuwa mnyenyekevu?

SURA YA 21

Yesu Afunua “Hekima Kutoka kwa Mungu”

Mafundisho ya Yesu yaliwafanyaje maaskari waliotumwa kumkamata warudi mikono mitupu?

SURA YA 22

Je, “Hekima ya Kutoka Juu” Inakuongoza Maishani?

Biblia inataja njia nne zinazoweza kukusaidia kustawisha hekima ya Mungu.