Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Sehemu ya 4

“Mungu Ni Upendo”

“Mungu Ni Upendo”

Upendo ndiyo sifa kuu zaidi ya Mungu. Pia ndiyo sifa inayovutia zaidi. Tunapochunguza baadhi ya mambo yenye kupendeza ya sifa hii bora, tutaelewa kwa nini Biblia inasema kwamba “Mungu ni upendo.”—1 Yohana 4:8.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 23

“Alitupenda Sisi Kwanza”

Usemi “Mungu ni upendo” unamaanisha nini?

SURA YA 24

Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”

Pinga uongo wa kwamba hupendwi au huthaminiwi na Mungu.

SURA YA 25

“Huruma Nyororo ya Mungu Wetu”

Hisia za Mungu kukuelekea zinafananaje na zile za mama kwa mtoto wake?

SURA YA 26

Mungu Aliye “Tayari Kusamehe”

Ikiwa Mungu anakumbuka kila kitu, inawezekanaje asamehe na kusahau?

SURA YA 27

“Wema Wake, Jinsi Ulivyo Mwingi!”

Wema wa Mungu ni nini hasa?

SURA YA 28

“Wewe Peke Yako Ni Mwaminifu-Mshikamanifu”

Kwa nini uaminifu-mshikamanifu wa Mungu ni bora kuliko uaminifu wake?

SURA YA 29

“Kuujua Upendo wa Kristo”

Sehemu tatu za upendo wa Yesu zinaonyesha kikamili upendo wa Yehova.

SURA YA 30

“Endeleeni Kutembea Katika Upendo”

Wakorintho wa kwanza inakazia njia 14 ambazo tunaweza kuonyesha upendo.