Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Shule Na Wanafunzi Wenzako

Shule Na Wanafunzi Wenzako

SEHEMU YA 4

Shule Na Wanafunzi Wenzako

Je, masomo fulani ni magumu sana kwako hivi kwamba yanakutoa jasho wakati wa mtihani?

□ Ndiyo

□ Hapana

Je, umewahi kudhulumiwa au kunyanyaswa kimapenzi shuleni?

□ Ndiyo

□ Hapana

Je, nyakati nyingine wewe hushawishiwa kujiunga na wanafunzi wenzako katika mwenendo usiofaa?

□ Ndiyo

□ Hapana

Huenda ukasema, ‘Ikiwa ninawezana na maisha ya shuleni, basi hakuna kitu chochote kinachoweza kunishinda!’ Na kuna ukweli fulani katika maneno hayo. Shuleni ni mahali ambapo akili, hisia, na hali yako ya kiroho hujaribiwa. Unawezaje kupata elimu ambayo itakufaidi na wakati uleule kuepuka kuchafuliwa na mitazamo ya wanafunzi wenzako inayomvunjia Mungu heshima? Sura ya 13-17 zitakusaidia kupata ustadi unaohitaji.

[Picha katika ukurasa wa 112, 113