Shule Na Wanafunzi Wenzako
SEHEMU YA 4
Shule Na Wanafunzi Wenzako
Je, masomo fulani ni magumu sana kwako hivi kwamba yanakutoa jasho wakati wa mtihani?
□ Ndiyo
□ Hapana
Je, umewahi kudhulumiwa au kunyanyaswa kimapenzi shuleni?
□ Ndiyo
□ Hapana
Je, nyakati nyingine wewe hushawishiwa kujiunga na wanafunzi wenzako katika mwenendo usiofaa?
□ Ndiyo
□ Hapana
Huenda ukasema, ‘Ikiwa ninawezana na maisha ya shuleni, basi hakuna kitu chochote kinachoweza kunishinda!’ Na kuna ukweli fulani katika maneno hayo. Shuleni ni mahali ambapo akili, hisia, na hali yako ya kiroho hujaribiwa. Unawezaje kupata elimu ambayo itakufaidi na wakati uleule kuepuka kuchafuliwa na mitazamo ya wanafunzi wenzako inayomvunjia Mungu heshima? Sura ya 13-17 zitakusaidia kupata ustadi unaohitaji.
[Picha katika ukurasa wa 112,
113