Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA 14

Utafanya Nini ili Kuonyesha Kama Uko Mushikamanifu kwa Yehova?

Utafanya Nini ili Kuonyesha Kama Uko Mushikamanifu kwa Yehova?

Ujitie ngambo ya Mungu. 1 Petro 5:6-9

Uepuke desturi zote zenye hazipatane na Biblia. Ili ufanye vile, inaomba usiogope watu.

Usijiingize mu mambo ya politike; ile mambo haimuunge Yehova mukono na Ufalme wake.

Ukamate uamuzi wa muzuri​—umusikilize Mungu. Matayo 7:24, 25

Upitishe wakati pamoja na Mashahidi wa Yehova; watakusaidia umukaribie Mungu.

Uendelee kujifunza juu ya Mungu na ujikaze kufuata amri zake.

Wakati imani yako inakuwa yenye nguvu, unapaswa kutoa maisha yako kwa Yehova na kubatizwa.​—Matayo 28:19.

Umusikilize Mungu. Usome Biblia, na uombe Mashahidi wa Yehova wakusaidie ili uielewe ao kuisikia muzuri. Kisha utumie mu maisha yako mambo yenye unajifunza. Kama unafanya vile, utaishi milele.​—Zaburi 37:29.