Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

SEHEMU YA 1

Mambo Yenye Yalitangulia Utumishi wa Yesu

“Huyo atakuwa mukubwa”​—Luka 1:32

Mambo Yenye Yalitangulia Utumishi wa Yesu

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 1

Ujumbe Mbili Kutoka kwa Mungu

Malaika Gabrieli alitoa ujumbe wenye ulikuwa vigumu kuamini.

SURA YA 2

Yesu Anapewa Heshima Mbele ya Kuzaliwa Kwake

Namna gani Elizabeti na mutoto mwenye kuwa katika tumbo lake la uzazi walimupatia Yesu heshima?

SURA YA  3

Mutu Fulani wa Kutayarisha Njia Anazaliwa

Kisha tu Zekaria kurudishiwa uwezo wake wa kusema kwa njia ya muujiza, alitoa unabii wa maana.

SURA YA 4

Maria Iko na Mimba Lakini Hajaolewa

Je, Yosefu anaamini wakati Maria anamuambia kama iko na mimba kwa nguvu za roho takatifu, lakini si ya mwanaume fulani?

SURA YA 5

Yesu Alizaliwa Wapi na Wakati Gani?

Tunajua namna gani kama Yesu hakuzaliwa tarehe 25 Mwezi wa 12?

SURA YA 6

Mutoto Mwenye Aliahidiwa

Wakati Yosefu na Maria wanamupeleka mutoto Yesu kwenye hekalu, Waisraeli wawili wenye kuzeeka wanatoa unabii juu ya wakati unaokuja wa Yesu.

SURA YA 7

Watu Wenye Elimu ya Nyota Wanaenda Kumuona Yesu

Sababu gani nyota yenye waliona mwanzoni Mashariki iliwapeleka kwa Mufalme muuaji Herode kuliko kuwapeleka mara moja kwenye Yesu iko?

SURA YA 8

Wanakimbia Mutawala Mukali

Unabii tatu wa Biblia kuhusu Masiya umetimia mwanzoni mwa maisha ya Yesu.

SURA YA 9

Anakomalia Katika Nazareti

Ndugu na dada wa Yesu wako ngapi?

SURA YA 10

Yesu na Familia Yake Wanasafiri Kuenda Yerusalemu

Yosefu na Maria wako na wasiwasi wakati hawamupate Yesu, wakati huo Yesu anashangaa kusikia kuwa hawakujua palepale nafasi kwenye walipaswa kumutafutia.

SURA YA 11

Yohana Mubatizaji Anatayarisha Njia

Wakati Wafarisayo fulani na Wasadukayo wanakuja kwa Yohana, Anawalaumu. Sababu gani?