SEHEMU YA 5
Yesu Anafanya Utumishi Wake Mashariki Mwa Yordani
“Watu Wengi Wakamuamini.”—Yohana 10:42
KATIKA SEHEMU HII
SURA YA 82
Utumishi wa Yesu Katika Perea
Yesu anaambia wasikilizaji wake kile wanapaswa kufanya ili kuokolewa. Shauri lake lilikuwa la maana zamani. Halafu leo?
SURA YA 83
Mialiko Kwenye Chakula
Wakati iko anakula kwenye nyumba ya Mufarisayo mumoja, Yesu anatoa mufano kuhusu chakula kikubwa cha mangaribi. Anatolea watu wote wa Mungu somo la maana. Ni somo gani hilo?
SURA YA 84
Kuwa Mwanafunzi wa Yesu Ni Daraka Nzito
Kuwa mwanafunzi wa Kristo ni daraka nzito. Yesu anaonyesha waziwazi mambo yenye yanaombwa ili kuwa mwanafunzi wake. Pengine maneno yake yanakwaza watu fulani wenye wangekuwa wafuasi wake.
SURA YA 85
Wanafurahi Wakati Mutenda-Zambi Anatubu
Waandishi na Wafarisayo wanamulaumu Yesu kwa sababu anasaidia watu wa kawaida. Ili kuwajibu, Yesu anatumia mifano ili kuonyesha namna Mungu anaona watenda-zambi.
SURA YA 86
Mutoto Mwenye Alipotea Anarudia
Mufano wa Yesu wa mutoto mupotevu unaweza kutufundisha nini?
SURA YA 87
Tumia Hekima Yenye Kutenda kwa Kupanga Mambo Mbele ya Wakati
Yesu anatumia mufano wa musimamizi-nyumba mujanja, na mwenye haiko mwaminifu ili kufundisha kweli yenye kushangaza.
SURA YA 88
Kubadilika kwa Hali ya Tajiri na Hali ya Lazaro
Ili kuelewa mufano wa Yesu ni lazima kutambua watu wawili wenye kuzungumuziwa sana wanafananisha nani.
SURA YA 89
Anafundisha Katika Perea Wakati Iko Anaenda Yudea
Anazungumuzia sifa yenye inaweza kutusaidia tusamehe wengine hata wale wenye wametukosea mara nyingi.
SURA YA 90
“Ufufuo na Uzima”
Yesu anamaanisha nini wakati alisema kwamba wale wenye wanamuamini “hawatakufa hata kidogo”?
SURA YA 91
Lazaro Anafufuliwa
Hali mbili za maana katika tukio hili, zinafanya isiwezekane kabisa kwa wapinzani wa Yesu kukataa muujiza.
SURA YA 92
Watu Kumi Wenye Ukoma Wanaponyeshwa —Mumoja Anaonyesha Shukrani
Mutu mwenye ameponyeshwa anaonyesha shukrani yake, hapana kwa Yesu tu lakini pia kwa mutu mwengine.
SURA YA 93
Mwana wa Binadamu Atafunuliwa
Namna gani kuwapo kwa Kristo kutafanana na mwangaza wa radi?
SURA YA 94
Mambo Mbili ya Lazima Sana—Sala na Unyenyekevu
Katika mufano wake wa mwamuzi muovu na mujane, Yesu anakazia samani ya sifa fulani ya pekee.
SURA YA 95
Anafundisha Kuhusu Kuvunja Ndoa na Somo Kuhusu Watoto
Namna Yesu anaona watoto iko tofauti sana na namna wanafunzi wake wanawaona. Sababu gani?
SURA YA 96
Yesu Anamujibu Mutawala Kijana Mwenye Kuwa Tajiri
Ni nini ilimuchochea Yesu kusema kama ni vyepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la shindano ya kushonea kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu?
SURA YA 97
Mufano wa Wafanyakazi Katika Shamba la Mizabibu
Namna gani wa kwanza wanakuwa wa mwisho na wa mwisho wanakuwa wa kwanza?
SURA YA 98
Mitume Wanabishana Tena ili Kutafuta Ukubwa
Yakobo na Yohana wanaomba fasi ya pekee katika Ufalme, lakini haiko wao wenyewe tu.
SURA YA 99
Yesu Anaponyesha Vipofu Wanaume na Anasaidia Zakayo
Namna gani tunaweza kupatanisha maelezo ya Biblia yenye kuonekana kuwa tofauti, yenye kuzungumuzia Yesu akiponyesha kipofu mwanaume karibu na Yeriko?
SURA YA 100
Mufano Wake wa Mina Kumi
Yesu alimaanisha nini wakati alisema: “Kila mutu mwenye kuwa na kitu, ataongezewa, lakini ule mwenye hana, hata kile chenye iko nacho kitachukuliwa”?