Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia

Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia

NAMBA ZA MASOMO

Watu wote wana thamani machoni pa Yehova 8, 9, 11, 21, 23, 68, 70, 74, 87, 90

Mshukuru Yehova siku zote 2, 6, 67, 103

Ni hatari kuwa mwenye hasira 4, 12, 41, 45, 49, 65, 89

Uwe jasiri—Yehova atakusaidia siku zote 40, 47, 51, 53, 57, 61, 64, 65, 76, 88, 101

Usikate tamaa unapoteseka 16, 47, 51, 57, 64, 75, 90, 95, 99, 101

Chanzo cha ibada ya uwongo ni Ibilisi 19, 20, 22, 38, 46, 49, 52, 58

Wasamehe wengine kama Yehova anavyokusamehe 13, 15, 31, 43, 92

Marafiki wanaompenda Yehova ndio marafiki wazuri 16, 33, 42, 80, 87, 100, 103

Mungu alitupatia Biblia ili tuwe wenye hekima 56, 66, 72, 75, 81

Ufalme wa Mungu utawaletea watu wote furaha 1, 48, 62, 79, 81, 83, 85, 86

Mapenzi ya Mungu hutendeka mbinguni na duniani 25, 55, 60, 62, 63, 71, 96, 102

Ikiwa humpendi ndugu yako huwezi kumpenda Mungu 4, 13, 15, 41

Wivu huharibu urafiki 4, 14, 41

Yehova huwaongoza watu wake 18, 25, 26, 27, 29, 34, 39, 44, 73, 80

Yehova ni Mweza-Yote 1, 7, 18, 19, 20, 21, 22, 26, 55, 60

Yehova husikiliza tunaposali kutoka moyoni 35, 38, 50, 64, 82

Yehova anawapenda watu wa mataifa yote 30, 33, 48, 54, 77, 94, 97, 98, 99

Yehova aliumba makao yetu—dunia 1, 2, 102, 103

Yehova hawezi kamwe kusema uwongo 3, 10, 16, 63, 68, 70, 102, 103

Yehova huwalinda watu wanyenyekevu 43, 45, 65, 67, 69

Yehova huwalinda wale wanaompenda 6, 22, 40, 50, 52, 55, 64, 71, 84

Yehova hatasahau kamwe mambo tunayomfanyia 16, 29, 32, 48, 65, 69, 77, 100

Yesu ni Mfalme wa Ufalme wa Mungu—unapaswa kumtii 74, 78, 79, 83, 84, 85, 91, 92, 99

Timiza ahadi zako kama Yehova anavyofanya 8, 9, 11, 23, 24, 31, 34, 35, 36, 66, 93

Sikiliza na utii—uhai wako unategemea mambo hayo 3, 5, 10, 37, 39, 54, 59, 65, 72

Sitawisha urafiki pamoja na Yehova 11, 30, 33, 51, 56, 59, 69, 81, 82

Usifanye mambo mabaya kamwe 14, 27, 49, 53, 58, 88, 89

Tunza kile unachopewa na Yehova 12, 13, 24, 35, 36, 56, 75, 95, 100

Waasi ni adui za Mungu 7, 17, 26, 27, 28, 88

Ubinafsi una madhara kwetu na kwa wengine 3, 4, 12, 27, 28, 39, 49, 88

Kutakuwa na Ufufuo 48, 86, 91, 93

Tunapaswa kuhubiri habari njema za Ufalme 73, 76, 94, 95, 96, 97, 98

Waovu hawatakuwepo tena 5, 10, 32, 46, 102

Huwezi kumtumikia Mungu na utajiri 10, 17, 44, 59, 75, 76

Vijana—mtumikieni Yehova kwa moyo wote 37, 51, 59, 61, 72, 100