Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
NAMBA ZA MASOMO
Watu wote wana thamani machoni pa Yehova 8, 9, 11, 21, 23, 68, 70, 74, 87, 90
Mshukuru Yehova siku zote 2, 6, 67, 103
Ni hatari kuwa mwenye hasira 4, 12, 41, 45, 49, 65, 89
Uwe jasiri—Yehova atakusaidia siku zote 40, 47, 51, 53, 57, 61, 64, 65, 76, 88, 101
Usikate tamaa unapoteseka 16, 47, 51, 57, 64, 75, 90, 95, 99, 101
Chanzo cha ibada ya uwongo ni Ibilisi 19, 20, 22, 38, 46, 49, 52, 58
Wasamehe wengine kama Yehova anavyokusamehe 13, 15, 31, 43, 92
Marafiki wanaompenda Yehova ndio marafiki wazuri 16, 33, 42, 80, 87, 100, 103
Mungu alitupatia Biblia ili tuwe wenye hekima 56, 66, 72, 75, 81
Ufalme wa Mungu utawaletea watu wote furaha 1, 48, 62, 79, 81, 83, 85, 86
Mapenzi ya Mungu hutendeka mbinguni na duniani 25, 55, 60, 62, 63, 71, 96, 102
Ikiwa humpendi ndugu yako huwezi kumpenda Mungu 4, 13, 15, 41
Wivu huharibu urafiki 4, 14, 41
Yehova huwaongoza watu wake 18, 25, 26, 27, 29, 34, 39, 44, 73, 80
Yehova ni Mweza-Yote 1, 7, 18, 19, 20, 21, 22, 26, 55, 60
Yehova husikiliza tunaposali kutoka moyoni 35, 38, 50, 64, 82
Yehova anawapenda watu wa mataifa yote 30, 33, 48, 54, 77, 94, 97, 98, 99
Yehova aliumba makao yetu—dunia 1, 2, 102, 103
Yehova hawezi kamwe kusema uwongo 3, 10, 16, 63, 68, 70, 102, 103
Yehova huwalinda watu wanyenyekevu 43, 45, 65, 67, 69
Yehova huwalinda wale wanaompenda 6, 22, 40, 50, 52, 55, 64, 71, 84
Yehova hatasahau kamwe mambo tunayomfanyia 16, 29, 32, 48, 65, 69, 77, 100
Yesu ni Mfalme wa Ufalme wa Mungu—unapaswa kumtii 74, 78, 79, 83, 84, 85, 91, 92, 99
Timiza ahadi zako kama Yehova anavyofanya 8, 9, 11, 23, 24, 31, 34, 35, 36, 66, 93
Sikiliza na utii—uhai wako unategemea mambo hayo 3, 5, 10, 37, 39, 54, 59, 65, 72
Sitawisha urafiki pamoja na Yehova 11, 30, 33, 51, 56, 59, 69, 81, 82
Usifanye mambo mabaya kamwe 14, 27, 49, 53, 58, 88, 89
Tunza kile unachopewa na Yehova 12, 13, 24, 35, 36, 56, 75, 95, 100
Waasi ni adui za Mungu 7, 17, 26, 27, 28, 88
Ubinafsi una madhara kwetu na kwa wengine 3, 4, 12, 27, 28, 39, 49, 88
Kutakuwa na Ufufuo 48, 86, 91, 93
Tunapaswa kuhubiri habari njema za Ufalme 73, 76, 94, 95, 96, 97, 98
Waovu hawatakuwepo tena 5, 10, 32, 46, 102
Huwezi kumtumikia Mungu na utajiri 10, 17, 44, 59, 75, 76
Vijana—mtumikieni Yehova kwa moyo wote 37, 51, 59, 61, 72, 100