Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi wa Sehemu ya 4

Utangulizi wa Sehemu ya 4

Mu hii sehemu tutajifunza juu ya Yosefu, Yobu, Musa, na Waisraeli. Wote walivumilia mambo ya mingi ya mubaya yenye Shetani aliwaletea. Wamoja kati yao walitendewa bila haki, walifungwa mu gereza, walikuwa watumwa, na hata waliuawa. Lakini, Yehova aliwalinda mu njia mbalimbali. Kama uko muzazi, umusaidie mutoto wako aelewe namna wale watumishi wa Yehova walivumilia mambo ya mubaya bila kupoteza imani yao.

Yehova alileta Mapigo Kumi ili kuonyesha kama iko na nguvu kupita miungu yote ya Wamisri. Onyesha namna Yehova alilinda watu wake wakati wenye ulipita na namna anawalinda leo.

KATIKA SEHEMU HII

SOMO LA 14

Mutumwa Mwenye Alimutii Mungu

Yosefu alifanya mambo ya muzuri, lakini aliteseka sana. Juu ya nini?

SOMO LA 15

Yehova Hakumusahau Yosefu Hata Kidogo

Hata kama Yosefu alikuwa mbali na familia yao, Mungu alimuonyesha kama alikuwa pamoja naye.

SOMO LA 16

Yobu Alikuwa Nani?

Alimutii Yehova hata wakati ilikuwa nguvu kufanya vile.

SOMO LA 17

Musa Alichagua Kumuabudu Yehova

Wakati alikuwa mutoto, Musa aliokolewa kwa sababu ya hekima ya mama yake.

SOMA LA 18

Muti Mudogo Unawaka Moto

Juu ya nini moto haukuunguza ule muti?

SOMO LA 19

Mapigo Tatu ya Kwanza

Farao aliletea watu wake matatizo juu kiburi kilifanya akatae kufanya jambo moja tu.

SOMO LA 20

Mapigo Ingine Sita

Namna gani hii mapigo ilikuwa tofauti na mapigo tatu ya kwanza?

SOMA LA 21

Pigo ya Kumi

Hii pigo ilikuwa mubaya sana na ilifanya Farao mwenye kiburi aache Waisraeli waende.

SOMO LA 22

Muujiza ku Bahari Nyekundu

Farao alipona wakati wa ile mapigo kumi, lakini je, aliokoka muujiza huu wa Mungu?