Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi wa Sehemu ya 5

Utangulizi wa Sehemu ya 5

Miezi mbili kisha kuvuka Bahari Nyekundu, Waisraeli walifika ku Mulima Sinai. Ku ile mulima, Yehova alifanya agano na Waisraeli juu wakuwe taifa lake la pekee. Aliwachunga na kuwapatia kila kitu chenye walikuwa nacho lazima. Aliwapatia mana ili wakule, fasi ya kuishi yenye usalama, na nguo zao hazikuharibika. Kama uko muzazi, usaidie mutoto wako aelewe juu ya nini Yehova alipatia Waisraeli Sheria, tabenakulo, na makuhani. Umuonyeshe sababu gani tunapaswa kutimiza mambo yenye tulisema tutafanya, kuendelea kuwa wanyenyekevu, na kuwa washikamanifu kwa Yehova sikuzote.

KATIKA SEHEMU HII

SOMO LA 23

Waisraeli Wanamutolea Yehova Ahadi

Waisraeli walimutolea Mungu ahadi ya pekee wakati walitia kambi ku Mulima Sinai.

SOMO LA 24

Walishindwa Kutimiza Ahadi Yao

Wakati Mungu alikuwa anapatia Musa zile Amri Kumi, watu walikuwa wanatenda zambi nzito sana.

SOMA LA 25

Wanajenga Tabenakulo

Mu ile hema ya pekee mulikuwa sanduku ya agano.

Wapelelezi 12

Namna gani ripoti ya Yoshua na Kalebu ilikuwa tofauti na ya wale wapelelezi wengine kumi wenye walipeleleza inchi ya Kanaani.

SOMO LA 27

Walimuasi Yehova

Kora, Datani, Abiramu, na wanaume wengine 250 walikosa kutambua jambo fulani La maana kumuhusu Yehova.

SOMO LA 28

Punda ya Balaamu Inasema

Punda iliona mutu fulani mwenye Balaamu hakuona.