Utangulizi wa Sehemu ya 5
Miezi mbili kisha kuvuka Bahari Nyekundu, Waisraeli walifika ku Mulima Sinai. Ku ile mulima, Yehova alifanya agano na Waisraeli juu wakuwe taifa lake la pekee. Aliwachunga na kuwapatia kila kitu chenye walikuwa nacho lazima. Aliwapatia mana ili wakule, fasi ya kuishi yenye usalama, na nguo zao hazikuharibika. Kama uko muzazi, usaidie mutoto wako aelewe juu ya nini Yehova alipatia Waisraeli Sheria, tabenakulo, na makuhani. Umuonyeshe sababu gani tunapaswa kutimiza mambo yenye tulisema tutafanya, kuendelea kuwa wanyenyekevu, na kuwa washikamanifu kwa Yehova sikuzote.
KATIKA SEHEMU HII
SOMO LA 23
Waisraeli Wanamutolea Yehova Ahadi
Waisraeli walimutolea Mungu ahadi ya pekee wakati walitia kambi ku Mulima Sinai.
SOMO LA 24
Walishindwa Kutimiza Ahadi Yao
Wakati Mungu alikuwa anapatia Musa zile Amri Kumi, watu walikuwa wanatenda zambi nzito sana.
Wapelelezi 12
Namna gani ripoti ya Yoshua na Kalebu ilikuwa tofauti na ya wale wapelelezi wengine kumi wenye walipeleleza inchi ya Kanaani.
SOMO LA 27
Walimuasi Yehova
Kora, Datani, Abiramu, na wanaume wengine 250 walikosa kutambua jambo fulani La maana kumuhusu Yehova.