Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Utangulizi wa Sehemu ya 10

Utangulizi wa Sehemu ya 10

Yehova ni mukubwa kupita wafalme wote. Hakuna kitu chenye kimekwisha kumushinda, na hakuna kitu chenye kitamushindaka. Kwa mufano, wakati walitupa Yeremia mu shimo, Yehova alimuokoa ili asikufe. Aliokoa Shadraki, Meshaki, na Abednego kutoka katika tanuru ya moto na aliokoa Danieli ili simba wasimukule. Yehova alilinda Esta ili aokoe taifa lote. Hataacha mambo ya mubaya iendelee milele. Unabii wenye unazungumuzia sanamu kubwa na wenye unazungumuzia muti mukubwa unaonyesha kabisa kama karibuni Ufalme wa Yehova utatosha mambo yote ya mubaya na utatawala dunia.

KATIKA SEHEMU HII

SOMO LA 57

Yehova Anatuma Yeremia Aende Kuhubiri

Mambo yenye huyu nabii kijana alisema iliwafanya wazee wa Yuda wakasirike sana.

SOMO LA 58

Yerusalemu Inaharibiwa

Watu wa Yuda waliendelea kuabudu miungu ya uongo, njo maana Yehova aliwaacha.

SOMO LA 59

Vijana Ine Wenye Walimutii Yehova

Vijana Wayudea waliazimia kubakia waaminifu kwa Yehova hata wakati walikuwa mu nyumba ya mufalme kule Babiloni.

SOMO LA 60

Ufalme Wenye Utaendelea Milele

Danieli anafasiria maana ya ndoto ya kushangaza ya Nebukadneza.

SOMO LA 61

Walikataa Kuinamia Sanamu

Shadraki, Meshaki, na Abednego wanakataa kuabudu sanamu ya zahabu ya mufalme wa Babiloni.

SOMO LA 62

Ufalme Wenye Uko Sawa Muti Mukubwa

Ndoto ya Nebukadneza inaonyesha mambo yenye itamupata.

SOMO LA 63

Maneno Inaandikwa Kwenye Ukuta

Maneno yenye haieleweke inaandikwa ku ukuta wakati gani, na inamaanisha nini?

SOMO LA 64

Danieli Anatupwa Ndani ya Shimo la Simba

Ukuwe unasali kwa Yehova kila siku, sawa vile Danieli alikuwa anafanya!

SOMO LA 65

Esta Anaokoa Watu Wake

Hata kama alikuwa yatima kutoka inchi ingine, alifikia kuwa malkia.

SOMO LA 66

Ezra Alifundisha Watu Sheria ya Mungu

Kisha Waisraeli kumusikiliza Ezra, walimutolea Mungu ahadi fulani ya pekee.

SOMO LA 67

Kuta za Yerusalemu

Wakati Nehemia alivumbua kama maadui wake walitaka kuwashambulia, juu ya nini hakuogopa?