Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 2

Jina Yako Ni Yehova

Jina Yako Ni Yehova

(Zaburi 83:18)

  1. 1. Mungu Mweza-Yote;

    Muumbaji wa vyote.

    Milele na milele,

    Weye ni Yehova.

    Tuko na furaha

    Ya kuwa watu wako;

    Mu makabila yote.

    Upokee sifa.

    (REFREE)

    Yehova, Yehova,

    Weye tu njo Mungu.

    Ku dunia na mbinguni

    Hakuna mwingine!

    Watu wote na wajue,

    Uko Mweza-Yote.

    Yehova, Yehova,

    Hatuna Mungu mwingine.

  2. 2. Siye tunakuwa

    Kile tu unapenda.

    Tunakutumikia.

    Weye ni Yehova.

    Kuwa Mashahidi

    Wako ni pendeleo,

    Na ni heshima sana.

    Tuko watu wako.

    (REFREE)

    Yehova, Yehova,

    Weye tu njo Mungu.

    Ku dunia na mbinguni

    Hakuna mwingine!

    Watu wote na wajue,

    Uko Mweza-Yote.

    Yehova, Yehova,

    Hatuna Mungu mwingine.