Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 4

“Yehova Ni Muchungaji Wangu”

“Yehova Ni Muchungaji Wangu”

(Zaburi 23)

  1. 1. Yah ni Muchungaji wangu;

    Nitamufwata yeye.

    Anaujua moyo wangu;

    Na sitakosa kitu.

    Ananiongoza kwenye

    Nafasi zenye maji.

    Ananiongoza kwa upendo

    Ili nipumuzike.

    Aniongoza kwa upendo

    Ili nipumuzike.

  2. 2. Njia zako ni za haki,

    Ni zenye kupendeza.

    Naomba unisaidie

    Kuwa muaminifu.

    Hata nikuwe mu giza,

    Sitaogopa kitu.

    Ninajua unanichungaka,

    Uko Rafiki yangu.

    Najua unanichungaka,

    Uko Rafiki yangu.

  3. 3. Uko Muchungaji wangu;

    Kweli sitakuacha.

    Uko nanipatia nguvu

    Na unanibariki.

    Ninakutumainia,

    Uko Mungu wa kweli.

    Kwa upendo mushikamanifu

    Unanitegemeza.

    Upendo mushikamanifu

    Unanitegemeza.

(Ona pia Zb. 28:9; 80:1.)