Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 12

Yehova Ni Mungu Mukubwa

Yehova Ni Mungu Mukubwa

(Kutoka 34:6, 7)

  1. 1. Mungu Mukubwa, unastahili

    Kusifiwa milele,

    uko mwenye upendo,

    Mwenye hekima na mwenye haki.

    Uko na nguvu mingi.

  2. 2. Tuko mavumbi, lakini weye

    Unatusikiliza

    wakati tunasali.

    Unafundisha na kuongoza

    Watu wako milele.

  3. 3. Tunakusifu kwa nyimbo zetu;

    Na malaika nao

    wote wanakusifu.

    Mungu Mukubwa, mwenye huruma,

    Pokea sifa zetu.