Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 13

Kristo Ni Mufano Muzuri

Kristo Ni Mufano Muzuri

(1 Petro 2:21)

  1. 1. Yehova ni mwema

    na mwenye upendo,

    Alimutuma Yesu ku dunia.

    Kusudi akufe

    na kutukomboa,

    Na kutukuza jina ya Mungu.

  2. 2. Kristo alipenda

    Neno ya Yehova.

    Kwake ilikuwa kama chakula.

    Ilimupatia

    hekima na nguvu,

    Alimufurahisha Yehova.

  3. 3. Yesu ni mufano

    muzuri kabisa.

    Na kama yeye, tumusifu Mungu;

    Tena tufuate

    njia yake yote.

    Kisha Mungu atatubariki.