Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 15

Tumusifu Muzaliwa wa Kwanza wa Yehova!

Tumusifu Muzaliwa wa Kwanza wa Yehova!

(Waebrania 1:6)

  1. 1. Tumusifu Yesu

    Muzaliwa wa kwanza;

    Mufalme mwenye haki;

    Ataleta baraka.

    Tena atatetea

    Jina ya Yehova,

    Na pia haki Yake

    ya kututawala.

    (REFREE)

    Tumusifu Yesu!

    Muzaliwa wa kwanza.

    Iko anatawala

    Ku mulima sayuni!

  2. 2. Tumusifu Yesu;

    Aliitika kufa

    Ili tusamehewe,

    Na tupate uzima.

    Na ataunganishwa

    Na bibi-arusi.

    Mungu atasifiwa

    Na kuheshimiwa.

    (REFREE)

    Tumusifu Yesu!

    Muzaliwa wa kwanza.

    Iko anatawala

    Ku mulima sayuni!