WIMBO 23
Yehova Anaanza Kutawala
-
1. Ufalme wa Yehova uko unatawala.
Yesu njo amekuwa Mufalme.
Tuimbe kwa furaha, na kumusifu Mungu.
Alichagua Kristo atutawale.
(REFREE)
Ufalme utaleta nini?
Kweli, haki, na furaha.
Na utaleta tena nini?
Uzima wa bila mwisho.
Tumusifu Mungu wetu
Mwenye upendo sana.
-
2. Sasa Armagedoni iko karibu sana.
Dunia ya Shetani ipite.
Basi na tujikaze kufundisha wapole;
Ili watumikie Yehova Mungu.
(REFREE)
Ufalme utaleta nini?
Kweli, haki, na furaha.
Na utaleta tena nini?
Uzima wa bila mwisho.
Tumusifu Mungu wetu
Mwenye upendo sana.
-
3. Tunamupenda sana Yesu Mufalme wetu.
Anakuya kwa jina ya Mungu.
Tena atatawala watumishi wa Mungu.
Basi tumusifu sana Mungu wetu.
(REFREE)
Ufalme utaleta nini?
Kweli, haki, na furaha.
Na utaleta tena nini?
Uzima wa bila mwisho.
Tumusifu Mungu wetu
Mwenye upendo sana.
(Ona pia 2 Sa. 7:22; Da. 2:44; Ufu. 7:15.)