Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 27

Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu

Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu

(Waroma 8:19)

  1. 1. Sasa watiwa-mafuta

    Watafunuliwa;

    Watatawala mbinguni

    pamoja na Kristo.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.

  2. 2. Wale watiwa-mafuta

    Wenye kubakia,

    Yesu njo atawaita

    Na kuwakusanya.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.

    (KILALO)

    Watapata ushindi kwenye

    Armagedoni.

    Kisha pale njo wataunganishwa

    milele.

    (REFREE)

    Mungu atawafunua

    Wakuwe na Kristo.

    Watajiunga na yeye

    mu ushindi wake.